Celebrities wengi wanaiogopa JF au hawaipendi?

Celebrities wengi wanaiogopa JF au hawaipendi?

Chezea jf wewe utachamba wima . Wenyewe wanapenda wakitupia picha kwenye mitandao wasifiwe ukifanya other wise ni hater hawapendi kuambiwa ukweli
Umu Bana Panaitwa Makav live,Watu wanakupa za uso mwenyewe unaomba Poo na Hurud tena.Kule si washazoea Sifa za Kijinga,UTASIKIA; You're on point,Cjui You're beautiful inside n out,Inside unamjua wewe? Mara cjui ."U r naturally beautiful Baibe" Hata Kama umetumia Mkorogo.lol
 
Umu Bana Panaitwa Makav live,Watu wanakupa za uso mwenyewe unaomba Poo na Hurud tena.Kule si washazoea Sifa za Kijinga,UTASIKIA; You're on point,Cjui You're beautiful inside n out,Inside unamjua wewe? Mara cjui ."U r naturally beautiful Baibe" Hata Kama umetumia Mkorogo.lol

Hahahaaaa, nimecheka sanaaaa eti "inside unamjua wewe"....lol.
 
Umu Bana Panaitwa Makav live,Watu wanakupa za uso mwenyewe unaomba Poo na Hurud tena.Kule si washazoea Sifa za Kijinga,UTASIKIA; You're on point,Cjui You're beautiful inside n out,Inside unamjua wewe? Mara cjui ."U r naturally beautiful Baibe" Hata Kama umetumia Mkorogo.lol

Hahaaaa umenikumbusha ile thread ya Lupita kuwa mwanamke mrembo duniani ilivyoshambuliwa sasa na raia hahaha
 
Chunguza kwa makini celebrities wengi huwaoni humu! Najua id zetu ni feki na si rahisi kumtambua mtu lakini kwa jinsi walivyo na mashauzi tungewajua tuu, manake wako hivi; wazuri wao, mahandsome wao, wenye akili sana wao, wenye pesa wao, wenye kujulikana sana wao! Na kama wamo humu tutajua tuu

Celebrity wa kibongo? Hahaaha kina Ray na akina Sepetu watatuambia nini great thinkers, shangaa hawajui kuandindika kiswahili hata wanaandika ata ...... Nk nk
 
Ha ha ha ha ila kifes mbish na uceleb Mbuz wake kafos kik umu mpk tukamjua lol
jamaa anapenda sana kuforce maisha shule ilimshinda ndo maana analazimisha vitu ambavyo havipo kwake, usitafute sifa subiri sifa zikufate, Kifesi
 
Last edited by a moderator:
jamaa anapenda sana kuforce maisha shule ilimshinda ndo maana analazimisha vitu ambavyo havipo kwake, usitafute sifa subiri sifa zikufate, Kifesi

khee nimechokoza nyuki
 
Last edited by a moderator:
hahahahaaa!

Hivi Tanzania celebs ndio wanaongoza kwa kukimbia umande na ni wabishi???

Niki II, Mwana FA, Jokate, Craze GK na wengine wachache wanajitahidi kwa MA's na BA's 😀
 
hahahahaaa!

Hivi Tanzania celebs ndio wanaongoza kwa kukimbia umande na ni wabishi???

Niki II, Mwana FA, Jokate, Craze GK na wengine wachache wanajitahidi kwa MA's na BA's 😀

hawa nawapongeza sana
 
Back
Top Bottom