Harrier tako la nyani nita muhonga ngoja ni shinde mkeka naua wakubwa wote man u Barcelona arsenal real Madrid Bayern Munich
Macho yake mekundu kama bandama ya fisi.
Ohooooooo kumbe wenye macho meupe tujivunie eeeh?
Ooh thanks love[emoji7]Jivunie kwa vyote tu ni sawa kabisa na unastahili asilimia 400%
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Harrier tako la nyani nita muhonga ngoja ni shinde mkeka naua wakubwa wote man u Barcelona arsenal real Madrid Bayern Munich
alimpata, akamla akamtemaKuna kipindi mondi alikua anafukuzia huyu mtoto,sijui aliishia wapi!