Moyibi
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,054
- 701
Inaonesha wazi unajiuza, tena wewe kwako 50k nyingi sana.Foh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonesha wazi unajiuza, tena wewe kwako 50k nyingi sana.Foh!
Kweli... Maana akingia bongo movie au awe video vixen ataishia kuchezewa tuTuwape watoto wetu elimu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Harrier tako la nyani nita muhonga ngoja ni shinde mkeka naua wakubwa wote man u Barcelona arsenal real Madrid Bayern Munich
Daah kama ile yetu ya machimbo ya bongomuvi wameniuzi Sana Hawa modsSpeling era mkuu. Usitusahau mkuu, mana mods nyuzi kama hizo hawachelewi kuzipoteza
Daah kama ile yetu ya machimbo ya bongomuvi wameniuzi Sana Hawa mods
Nimetoka kusikiliza intvw wa aliyekuwa mume wake wa pili,jamaa ni Gentleman japokuwa mwandishi alikuwa ana mchokonoa lkn amemstiri sana Menina.
Ila najiulizaga hivi kwa nini wanawake ,wanapenda wanaume wahuni wahuni,pasta vichwa,wale wenye maneno mengi kama Mwijaku alafu wanawaacha watu wa maana,yaani sijui kwenye vichwa vyao huwaga wana wazaga nini.
Alafu kumbe video zile Menina ndiye aliyemtumia Mwijaku,sasa sijajua ndio alikuwa ana mtongoza ili amgonge,Mwijaku naye ndio akaamua kuziachia.
Ila dada zangu huwaga wanaponzwaga sana na maamuzi yao mabovu,yaani video ya masaa machache,iliyovujishwa na mpuuzi Mwijaku asiyejua thamani na utu wa Mwanamke,ishamshusha thamani Menina.
Alafu masistaa du na macelebrity wengi wa bongo wanazo hizi video tena wemejirekodi kwa utashi wao wenyewe,tena wengine wanazisambaza wenyewe,manake hizi video zishakuwa kama series hatujui kesho itakuwa zamu ya nani.
bwawa la maji mengimtera ndo nini mkuu
Usimfananishe Pogba na vitu vya ajabuWakazi wa Dar hatutajiandikisha na tuone kama Pobga atathubutu kumwajibisha Bashite.
Masikini pole kwa stress naona ndiyo umepata pa kuziondolea sasaInaonesha wazi unajiuza, tena wewe kwako 50k nyingi sana.
Pogba yupi unam refer ?Usimfananishe Pogba na vitu vya ajabu
Pogba wa kwa MacronPogba yupi unam refer ?
Hapana. Sio huyo.Pogba wa kwa Macron
Ni jina lake halisi??Hapana. Sio huyo.
Pogba ninaemsema mimi ni huyu aliyesema haondoki Mpanda hadi eitisielo wapeleke dreamlaina
Jina lake halisi ni classifiedNi jina lake halisi??
Na kwanini mmempa jina la Pogba??Jina lake halisi ni classified
Ili kuepuka saiba kraimuNa kwanini mmempa jina la Pogba??
Sasa kwanini Pogba na siyo mtu mwingine eti??Ili kuepuka saiba kraimu
Mzee kama menina ana sura ya kawaida..ni kweli binadamu tunatofautiana pakubwa![emoji848]Sura yake sio kiviiiiiile