Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MhhMidomo mikubwa na mipana huyo ni mama huruma. Hamnyimi mtu bali huwahurumia wanapomlilia. Midomo membamba na kidomo kidogo ni msemaji kama kameza betri ya chapa paka pacha. Akiwa na macho maangavu huyo ni kicheche tena chunga sana pochi yako. Vifundo vimevimbiana na miguu milonjo jua huyo ni mtera
Eeh, najuaga moja na hua nadhani n mke wa mtuAsha Piga ndoa mbili huyo na zote kaachika
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Beauty Lies in the eyes of BEER holder
Mungu hakupi vyoteHaka katoto kazuri na kako vere smart
Ila sijui kwanini anaachika kwenye ndoa
Usiandikie mate na wino upo. Hebu fanya tu kautafiti
Kk najiulza hiv kwann vzur ving havna uboraWanajamvi,
Kuna msemo usemao "Beauty lies in the eyes of beholder"
Leo naomba nimtambulishe huyu mdada mbongo sijui nimuite MC , sijui Bongo Movie au Bongo Fleva artist anaitwa Menina Abdulkarim, kwa macho yangu ni mzuri sana yaani kawapita wote na hana makuu (skendo za kila leo) hakika hapa Mungu aliumba kuanzia sura, jicho,shepu, mguu hadi sauti Basi sifa zimrudie Muumba
Nawasilisha kwa Heshima
Kuna la kujifunza hapa[emoji86] kwa wenye uelewaIla ukiwa nae kitandani hutoamini alivyo bwawa...
Hahaaa, sasa Kwa hizi sifa mbona hamna hata mwenye nafuu[emoji3] [emoji3]Midomo mikubwa na mipana huyo ni mama huruma. Hamnyimi mtu bali huwahurumia wanapomlilia. Midomo membamba na kidomo kidogo ni msemaji kama kameza betri ya chapa paka pacha. Akiwa na macho maangavu huyo ni kicheche tena chunga sana pochi yako. Vifundo vimevimbiana na miguu milonjo jua huyo ni mtera
[emoji23][emoji23][emoji23]tuondolee kituko hiki
Mbona wapo wengi tu ila, Hawaingizwi kwenye mashindano ya ucelebrity. Hukaa nyumbani na kulea watoto Mola anaowajaalia.Hahaaa, sasa Kwa hizi sifa mbona hamna hata mwenye nafuu[emoji3] [emoji3]
Nimeona hapo kama kuwa na mdomo Mdogo shida, Mkubwa shida , minene tabu duh[emoji3] [emoji3]Mbona wapo wengi tu ila, Hawaingizwi kwenye mashindano ya ucelebrity. Hukaa nyumbani na kulea watoto Mola anaowajaalia.