Celebrity aliye mzuri kupita wote hapa Bongo ni huyu

Haka katoto kazuri na kako vere smart

Ila sijui kwanini anaachika kwenye ndoa
 
Mhh
 
Nyie mnaosema hamna kitu hapo mtuambie mna maana gani ili wengine tujue sio kutuacha njia panda sio vizuri mjue[emoji57]
 
Kk najiulza hiv kwann vzur ving havna ubora
 
Ubaya wa ma manzi kama hawa, kitandani gogo, wao kaz yao kutoa milio ya wiz tu kama paka[emoji23][emoji23][emoji23]

Nina ujuzi nao usiniulize kwann nimeongea hvyo[emoji34]
 
Hahaaa, sasa Kwa hizi sifa mbona hamna hata mwenye nafuu[emoji3] [emoji3]
 
Umeona sifa za mwanamke midomo mipana kama huyo uliyesifia wewe, kuwa wana tabia gani za hovyo?
Kifupi kusifia mwanamke nje ya mashindano ya urembo ni matusi, kwa sababu kila mwanamke ni mzuri machoni pa amtakaye na hawashindanishwi, maana hawana sifa specific za uzuri. Kila kitu kwa mwanamke ni kizuri.

Usiye muona mzuri wewe, mwenzako anampaparikia kinyama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…