Alikua demu wake akiwa Simba na dogo akawa hasikii haambiwii na nidhamu ikashukaAliuaje kipaji cha Manyika mkuu? Fafanua kidogo
Hapa nahitaji elimu zaidiUkitaka kujua ka ni mtera angalia vifundo vya miguu. Huyo 100% ni mtera
Vifundo vilivyo jaa na miguu milonjoHapa nahitaji elimu zaidi
Uzuri uko machoni mwa anaetazama....
mkuu kama umechanganya hivi sio huyu yupo binti mwingine nae ni kama shombe shombe ndio alikuwa na huyo kijana ila ukiwacheki hawa mabinti kama wanafanana.Alikua demu wake akiwa Simba na dogo akawa hasikii haambiwii na nidhamu ikashuka
Hahaha ni wivu tu!!!Uzuri wa tuerny umebebwa na ule mkorogo picha zake alivyokua mweusi ni wa kawaida
Ndio huyo huyo mtoti wa Abdulkadir Buji alikua Mbunge wa Mafiamkuu kama umechanganya hivi sio huyu yupo binti mwingine nae ni kama shombe shombe ndio alikuwa na huyo kijana ila ukiwacheki hawa mabinti kama wanafanana.
Hoja imeungwa mkono
Miguu milonjo ndo aina gani mkuu?Vifundo vilivyo jaa na miguu milonjo
Hata kama ni mnene, miguu yake iwe kama vile umegeuza chupa ya fanta juu chini. Hiyo ndo miguu supa. Ila kama kanenepa halafu miguu inateremka kama nguzo ya tanesco hata vifundo havionekani huyo ni mtera. Jaribu kulinganisha chupa ya soda inavyokaa ikisimama kichwa chini.Miguu milonjo ndo aina gani mkuu?
Na vifundo vya miguu kujaa unamaanisha kikiwa kinaonekana kimevimba au?
Kama ni mnene je nawezaje kujua kama ni mtera?
Usichoke na maswali yangu tafadhari nahitaji kujifunza na kufanya utafiti wa vitendo mwisho wa mwezi huu
Shukrani, ngoja niingie kazini sasaHata kama ni mnene, miguu yake iwe kama vile umegeuza chupa ya fanta juu chini. Hiyo ndo miguu supa. Ila kama kanenepa halafu miguu inateremka kama nguzo ya tanesco hata vifundo havionekani huyo ni mtera. Jaribu kulinganisha chupa ya soda inavyokaa ikisimama kichwa chini.
Una kiba 100Ila ukiwa nae kitandani hutoamini alivyo bwawa...
Wacha Bwana! Na Hii Ya Pili Ameachika?Asha Piga ndoa mbili huyo na zote kaachika
[emoji3] Umenikumbusha, Ka Girlfriend Kangu Kalianzisha hizo Story za Tako La Nyani, Sijui Wenzie Kazini Wamemdanganya Nini! Nikapotezea Kama Sielewi Anaongelea Nini [emoji16]Sio nalipenda Mimi warembo ndio wanataka kuhongwa harrier tako la nyani hawataki tena vitz
Hapana, anafuga samakiAna chura?