Celebrity Lawyer Albert Msando: Utajiri wa ghafla wamchanganya, afanya kufuru

Status
Not open for further replies.
kuna CMC kaka zaidi ya hio kuna garage standard nyingi tu wanatengeneza hayo magari...hatuko nyuma kiasi hicho.... anaesumbuliwa na gari yoyote hata Bentley awasiliane na mimi.

Labda CMC Dar. Hawa wa Ar magumashi. Usiombe utumbue range mkuu! Na ikitokea, Naii ni km270 tu. Dar 670!!!
 

kwenye magari sio kila part itapatikana sehemu moja....kwahio sio ajabu CMC kuagiza baadhi ya parts Nairobi/SA/UK hata hao wa nairobi kuna parts wanaagiza nje ya nairobi...magari hayo ndio shughuli yangu na kuna parts za Range Rover hata UK hawana wanaagiza German....nimejibu tu swali lako kwamba tangu enzi zile range zinatengenezwa nairobi...no zinatengenezwa hapa hapa tz ila ukiamua unaweza kwenda kutengeneza hata UK
 

Mkuu umenena mtu kipiga picha n hela ni ushamba hpa wa2 watakuja n kusema tunamwonea wivu mimi nko nae karibu najua mengi sana.hana fixedasset yeyote hpo alipo pia gari hizo zote 4 ndio zina kadi
 

Range gari za wahindi siku hizi, so sema "hata Mumbai" sio "hata UK".
 
Halafu haters wa Msando wengi ni wakazi wa Dar wanaominyana kwenye vidaladala kama Nyumbu..
 
Kiranga TATA ni wamiliki tu tena kwa makubaliano production itaendelea pale midlands UK kwa standard za UK tu...TATA hawana mkono wao kwenye design wala technology....

Kama ni wamiliki, wana mkono kwenye design na technology angalau kama wamiliki.

Kama hawana mkono kabisaaa kwenye design na technology, huwezi kusema ni wamiliki.

Range zimewekewa mpaka injini za Ford ilipokuwa chini ya Ford, leo unaniambia TATA hana mkono kwenye design and technology?

Range Rover zinatengenezwa mpaka China wewe unakalaghabaho na Midlands tu huko?

Wachina wametengeneza mpaka Range Rover feki wewe bado unasifia quality ya Range Rover tu bado?

Range Rover zilishakuwa messed up tangu zilipokuwa chini ya Ford, leo unasema TATA habadilishi kitu, habadilishi nini, mess ya Ford?
 
#GetAngry #GetInsipired Umemfollow mwenyewe huna uwezo wa kumpangia vitu vya kupost instagram ni mtandao wa picha ana uhuru wa kuweka picha yoyote ilimradi haivunji sheria za mtandao wa IG
 
mimi sio hater lakini hapo naona kuna MERC W203 [2000-]....MERC W221[2006-]....BMW Z4[2003-] ni gari za zamani sana sio za kumfanya mtu aonekane tajiri kivile ingawa kibongobongo yuko vizuri.
 

sawa...
 

Onyesha na ww 504 yako basi huna ata spoku ya baiskel unaponda tu....kazini daily unafika umeja ma jasho kwaa ajili ya kugombania dala dala
 
I salute you drama queen
Tena atupishe Amu asitake tukaweka screenshots zake umu..shughuli yenyewe hawezi, anahonga tu ili kufunika udhaifu..mkewe maskini hayo magari hata raha nayo hana..ushauri tu kula kidogo basi tupate hata pa kukushika..

Ha ha ha cc Kaizer snowhite
 
Last edited by a moderator:
soma vizuri....nimesema hatujafikia kiwango cha kuwa na authorized dealers TANZANIA NZIMA,meaning kuna sehemu hakuna.

Hatujafikia kiwango cha kuwa na hewa Tanzania nzima, what's your point?
 
Onyesha na ww 504 yako basi huna ata spoku ya baiskel unaponda tu....kazini daily unafika umeja ma jasho kwaa ajili ya kugombania dala dala

Kazini hata nikitembea kwa mguu sitoki jasho, nilipo ni winter sasa hivi.

Jaribu tena.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…