Celebrity Lawyer Albert Msando: Utajiri wa ghafla wamchanganya, afanya kufuru

Status
Not open for further replies.
Mimi huwezi kunikuta na-flash wads of cash in any currency.

Huwezi kunikuta Facebook, Instagram, Twitter na huko kwingine ambako watu huweka mapicha yao.

And 20K ain't a thing to me. I don't need to inspire strangers on the world wide web.

20K ndio nini?
 
Naona Diaspora now wanamjibu Wakili indirectly!!

Mara kudraw madolari NBC!! Mara matumizi yao wakirudi likizo!!!
Nyani Ngabu na Kiranga nanyi Mme_ni inspire mjue!!

one day Nita draw hizo dolari nyingi Huko NBC!!

I didn't mean to inspire anybody, just putting things into perspective.
 
Last edited by a moderator:
IF U WANNA HATE ME, HATE ME

What can I do?, funny I was just like u, I had 2 hussle hard until I made it.....now u are sayin..........

These are my cars & house u can live in that too

People warned me , when you are on top there is envy

Sawa Nas wa Kyabakali.
 

Hao umewataja hapo juu ni watu heavy sanaaa

Kuna vijana wanacash huku huku mtaani mpaka mtu unaogopa

Lakini we live with them na hutasikia mbwembwe insta wala Fb

To me its bull.shi.t
 
Hao umewataja hapo juu ni watu heavy sanaaa

Kuna vijana wanacash huku huku mtaani mpaka mtu unaogopa

Lakini we live with them na hutasikia mbwembwe insta wala Fb

To me its bull.shi.t

- Kila mtu na maisha yake kama kuna aliyeamua kuyaweka hadharani ni haki yake na ni uamuzi wake hajavunja sheria, kama kuna aliyeamua kufanya maisha yake siri sawa sawa nani hakimu hapa wa kuwaamulia wananchi namna ya kuishi maisha yao? Kama hupendi zima Radio au badilisha channel zile enzi za Ujamaa ziliisha saafi sana Albert asiyetaka afwe

Le Mutuz
 

- hahahahahahahahah sizitaki mbichi hizi hahahahahahahha

Le Mutuz
 
Ukichukulia jf serious utaona ni wewe tuu ndio bado unaishi kwenye three bedroom apartment na ni wewe tuu umebakia na Rav4 ya mwaka 2001.

- Binafsi between Nyumba na Apartment ninachagua apartment sipendi majumba makubwa lakini kama kuna wenye majumba wameamua kuyaonyesha sawa hakuna kosa kama huna huwezi kuonyesha basi nyamaza tu

Le Mutuz
 

Pitiaaa huku unywe soda ya wakubwa, yaani hakuna haja ya kuongeza chochotee inabaki Kama ilivyoo
 
- Binafsi between Nyumba na Apartment ninachagua apartment sipendi majumba makubwa lakini kama kuna wenye majumba wameamua kuyaonyesha sawa hakuna kosa kama huna huwezi kuonyesha basi nyamaza tu

Le Mutuz

Tatizo wewe sasa unaringishia hata picha ulizopiga kwenye magari ya kina Bakhressa na kina Davis MOsha which is a Damn! SHAME.......:confused2:
 

Le Big Show try to understand!

Huwezi kumock people kwa kutumia mali zako hiyo ndio point yangu

Siwezi kumchagulia mtu lifestyle kwasababu hata mimi sijachaguliwa na mtu niishije

BTW i still ask myself hivi wakiamua watu wenye hela zao kupost kuanzia jewerly,cars,condo nk huyu ndgugu yetu wakili mjanja atauweza mtiti!

NB: Hiyo gari mnayoiita macho ya panzi (sijui) its worth a Pendant!
 
Wengine tumezaliwa na hvyo vitu. Mimi niko 30s i own two cars. 1 bmw 5series and a toyota . Do what? Kuna lipi la kuweka instagram nk.
Najiona maskini sana bado kwakweli and am only 30
Wazazi wangu wanauwezo wa kununua hata range rover 2015 ila wanaendesha gari ya kawaida tena klugger . So namshauri aache mashauzi yake zaidi kupublicize wToto wake na hela zake. Sio sawa hata kidogo. Keep it professional bro!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…