mi nlitaka niulize hivo hivo ila alishajihami aminiusiaminina tofauti yako na yeye hapa ni ipi labda? au kwa ajili yeye ameweka picha? au sababu yeye kaonyesha mengi yake na wewe unaongelea uwezo wa wazazi??
Mbona kajumba ka kawaida sana, labda kama kapo maeneo ya city center (posta) ambako ardhi inathaman ya hera za escrow. Sioni na sihusudu utajiri wa magari
Aiseeeeh naona heshima ya mwanaume bado ipo kwenye kupiga pumbu la uhakika.
Watu wa middle class ndiyo wapi mkuu?
Hiyo nyumba kanunua dola laki 3 , kwa mtazamo wangu watu middle class kibongo bongo hawezi kuwa nazo.
what makes u think that his folly of floosing is flatfooted by the fraudulent facade of freewheeling fortune on a finagled fame?
King'asti
Hahaaa@Boss umenikumbusha juice ya miwa enzi hizo pale Mnazimmoja shule ya msingi, na chips dume. Sijui hao mabwana bado wapo?.halafu wewe ntakuhonga juice ya miwa ya mtaa wa sikukuu pale halafu shughuli yake ndo utajuuuta kumponda lawyer humu lol
Hahaha mkuu juisi ya miwa umenikumbusha mbali sana kipindi hicho mwanafunzi wa chuo.......salute!!!!!halafu wewe ntakuhonga juice ya miwa ya mtaa wa sikukuu pale halafu shughuli yake ndo utajuuuta kumponda lawyer humu lol
Jamaa naskia ni ana viumbe vidogo uvunguni sijui ni kweli
Mjini wanaume ni wale wale halafu wanaume wa chugga washamba sana wakija dar kila mwanamke wanataka kumfunua.
Ila siyo mimi ni hafsa na shamsa ndo waliniambia...wakarudi na ukame wao..