aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,224
na tofauti yako na yeye hapa ni ipi labda? au kwa ajili yeye ameweka picha? au sababu yeye kaonyesha mengi yake na wewe unaongelea uwezo wa wazazi??
Acheni wivu wa kike. Tunapongea jambo kama hili lazima tulenganishe na jambo lingine liweze kuleta maana au ufafanuzi.
Katika matajiri mimi bado sipo. Lakni naelekea huko mkuu. Utajiri sio kuwa na nyumba mbezi na kagari.
Am thinking big hommie!!