Celebrity Lawyer Albert Msando: Utajiri wa ghafla wamchanganya, afanya kufuru

Celebrity Lawyer Albert Msando: Utajiri wa ghafla wamchanganya, afanya kufuru

Status
Not open for further replies.
na tofauti yako na yeye hapa ni ipi labda? au kwa ajili yeye ameweka picha? au sababu yeye kaonyesha mengi yake na wewe unaongelea uwezo wa wazazi??

Acheni wivu wa kike. Tunapongea jambo kama hili lazima tulenganishe na jambo lingine liweze kuleta maana au ufafanuzi.
Katika matajiri mimi bado sipo. Lakni naelekea huko mkuu. Utajiri sio kuwa na nyumba mbezi na kagari.
Am thinking big hommie!!
 
We buy things we don't need for the money we don't have to impress the people we don't like.
 
Ndo nini.

I didn't mean to inspire anybody, just putting things into perspective.

Mkuu Deo Corleone

Hawa wakuu wawili sio wabeba box,hawa watakuwa wamiliki wa makampuni huko duniani maana wapo njema sana. Mwenzangu na mimi nabeba box Lakini hizo hela wanazo zitamka na matumizi yao kwakweli nashindwa kuelewa hilo box wanalibebea wapi.

Halafu mkuu Kiranga hizo simu ulizo taja awali kuwa unazinunua kama unanunua karanga si zipo za contract T-mobile na wenzake wanakupa kwa mkopo? Hizo hata mbeba box mimi ambaye nipo hoi Naweza kuwa nazo
 
Last edited by a moderator:
big Rollie top down on any block, niggas know me The only one that's topping Forbes, I'm gettin' lonely.
You could go to any hood, bet they know me Rose gold pinky ring,master Rollie. Boy, you'se a little nigga; Gary Coleman(rip) I be calling all the shots, I'm big homie.
#GetInspired #GetAngry #Itcanbeyou
 
Halafu huko mliko Si kuna Uhuru sana wa kuchagua?

sasa Alberto kachagua hayo mabenz na marange kuu kuu (per ngabu),kwanini usiheshimu tu machaguo yake !!

NB.Nijibu kwa kiswahili!!

hahaaaaaa haaaaa nimecheka sana hapo kwenye NB.

dah bado nacheka ....hahaaaa
 
Acheni wivu wa kike. Tunapongea jambo kama hili lazima tulenganishe na jambo lingine liweze kuleta maana au ufafanuzi.
Katika matajiri mimi bado sipo. Lakni naelekea huko mkuu. Utajiri sio kuwa na nyumba mbezi na kagari.
Am thinking big hommie!!

Nyumba na gari ni moja ya utajiri mkuu
 
sasa hiyo #getangry #Getinspired ina faida gani kwa watu wengine zaidi ya kuringishia tuu. mbona uko chadema kuna kina zito na kina mbowe wana hela ndefu zaidi na hawaposti instagram? na wanasheria kina mkono nao wafanyeje? au wakina Masha nao waringishie itakuwaje? kuinspire watu siyo kuwaringishia magari yako hebu ona Mengi anavyoangaika na kina mama na saccos ndo ujue maana ya #getangry #Getinspired

Huyo katokea kwenye njaa kali hivyo kwake yeye amejikwamua, na watu wa aina hiyo hata umwambie nini hawezi kukuelewa,atawaheshimu wale waliomzidi tu ,kama huna kitu usimsogelee huyo jamaa, atakudhalilisha atakunyanyasa ni mshamba by the way
 
Sio kila mtu anahusudisha magari.

Kuna machizi wananunua vigarigari hivi na kuwaachia baby mamas tu wao wanadeal na mambo makubwa kama real estate.

Ni huko bongo tu ambako watu hawana elimu ya kutofautisha what is an asset and what is a liability ndo mnashangaa magari.

Nakumbuka back in the early 1990s nilikuwa napitia library ya mshua, nikaona kitabu cha business advise cha Harvey Mackay, kinaiitwa "Swim With The Sharks Without Being Eaten Alive".

One of the nuggets in it was "Buy cheap cars and expensive houses".

Not too many of us had the advantage of even knowing who Harvey Mackay is, certainly not at that age.

Leo ukiona fulani ana gari la bei mbaya kama ujiko nakushangaa utalimbuka mpaka lini?

zipview.php



CC Nyani Ngabu

Kiranga hiki kitabu kinapatikana wapi hapa bongo?
 
Kiranga hiki kitabu kinapatikana wapi hapa bongo?

Mwanawane habari za bongo na vitabu hata nisikudanganye sijui kinaweza kupatikana wapi, hata qahindi wangu waliokuwa wanaleta copies za India nilikokipata "A Brief History of Time" enzi hizo sijui kama wapo, na hata sikumbuki mitaa. Jaribu pale Samora Ave bookshop opposite na Dar Chamber of Commerce (where it used to be anyway, just after Bismin if you are going to Clock Tower) au booksellers wa kati hapo.

Ukikisosa ni PM address yako nitakutumia changu, ilibidi nilivyofika Unyamwezini nikitafute tena, nikakuta kumbe mpaka huku kina a cult following kwa nondo zake. Kina ushauri mzuri sana kwa business leadership na maisha kwa ujumla.

Masomo yake ndo hayo mpaka leo nayaona, kwa wqnasheria maarufu.
 
Mkuu acha maisha ya ku imagine na ku assume..
Range Rover Evoque hapa hapa Tz unaipata mpya kwa dola 1300 tu kwa mwezi

huko majuu ndo kabisa watu wanalipa dola 300 tu kwa mwezi na wanaendesha gari mpya za kila aina...

vitu vingine tunaviona vikubwa sababu hatuna infos

Uko sahihi kabisa, tena unaweza kaa miezi 6 hadi mwaka hujalilipia kutokana na credit rating yako.kwa wanaoishi metropolis, gari zaidi ya moja ni useless kwa kuwa public transport inajitosheleza.

Watanzania wengi ni malimbukeni wa motokaa. nadhani ni ushamba wa kutokuwa nazo.hayo magari kwenye hizo picha ni magari ya low middle class nchi za wenzetu. na hauwezi kumkuta mtu kayakusanya kama huyo Msando, kwani hakuna sababu.

Hizi video za Hiphop zinaharibu vijana wetu.
 
Taaluma ya Sheria itakuwa rahisi sana Tanzania, why would anyone prominent or serious want to associate themselves with someone who displays this level of immaturity?

This can be Okay for a street thug, an entertainer or such, but not a lawyer tasked with handling clients with serious issues.For I believe he is exercising serious laps in judgement with these social media postings and arguments that serves no purpose.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom