Celebrity Lawyer Albert Msando: Utajiri wa ghafla wamchanganya, afanya kufuru

Status
Not open for further replies.
Naona huko aliko anajuta:embarrassed1::embarrassed1::embarrassed1::embarrassed1::embarrassed1::embarrassed1::embarassed2::embarassed2:

Ngati wamshambulii kweeli mwenyeee adivokeeti!
Vandu va mtaa huuu,niwashindwiili !
Maliyaa !
Si ababiili lakiiini?
Na mdala wake atamii kunyumba magono yahambiiili tuuu!
Vamlekaaai weeenga!
Kwani chaaani?
 
Reactions: Mit
Naona mmekinukisha

Hawa watoto hawafai hata kidogo!
Mwenzio The Boss kajitoa mhanga kuhonga juice ya miwa then amshughulishe amu mpk arudi hapa kuandika thread yenye title KWA SHUGHULI YA THE BOSS NAMTAKA RADHI ADVOCATE MSANDO.lol!
 
Last edited by a moderator:
Amshukuru mawala kwa kumfungulia njia kimaisha
 
Naona huko aliko anajuta:embarrassed1::embarrassed1::embarrassed1::embarrassed1::embarrassed1::embarrassed1::embarassed2::embarassed2:



kujuta kivipi? yaani ajute kisa maneno ya losers wa humu JF?
 
Where is Nyaga?pesa za kudhulumu majasho ya watu anaweza asifike hata 40 yakamkuta yalioyomkuta bilionea wakili nyaga
 
Pesa za nyaga hizo aache kujifanya get ispired....ngojantuone kama ataongeza mengine maana alikuwa anatumia mgongo wa jamaa kupitisha bandarini bure.....waliovitolea jasho huwa hawavionyeshi kwa sifa....
 
Pesa za nyaga hizo aache kujifanya get ispired....ngojantuone kama ataongeza mengine maana alikuwa anatumia mgongo wa jamaa kupitisha bandarini bure.....waliovitolea jasho huwa hawavionyeshi kwa sifa....
Atii?
Jf utanyimwa maji ila taarifa ,utazikimbia mwenyeww
 
Jamaa nyaga ndo kampokea mbona kina nimrod mkono hawajionyeshi akati anapesa chafu aliweka lami mtaani kwake....
 
Hawa watoto hawafai hata kidogo!
Mwenzio The Boss kajitoa mhanga kuhonga juice ya miwa then amshughulishe amu mpk arudi hapa kuandika thread yenye title KWA SHUGHULI YA THE BOSS NAMTAKA RADHI ADVOCATE MSANDO.lol!

Mi na mwalimu tu mpaka kieleweke mambo ya kufia vifuani mwa watoto nataka?
 
Last edited by a moderator:
Tanzania level ya mtu kuitwa 'tajiri' inategemea kiwango cha umaskini cha walio mzunguka
go figure

Nakubaliana nawe kabisa na hata huyu anayejiona Tajiri anajilinganisha na wanaomzunguka na alikotokea,anatoka ktk nyumba za mbavu za mbwa,anakuja mjini chuo kikuu basi maisha yy kayamaliza!ndio wale wanaweka funguo za gari usoni eti watu wamuone anagari lol
 
Mi na mwalimu tu mpaka kieleweke mambo ya kufia vifuani mwa watoto nataka?

Hahahahahahahahaha na wanakutoa kamasi kweli hawa!
Boss man muwache akajipime ubavu!
Si a jab akarestore dignity ya shikamoo jazz!
 
Hahaaa@Boss umenikumbusha juice ya miwa enzi hizo pale Mnazimmoja shule ya msingi, na chips dume. Sijui hao mabwana bado wapo?.

Hiyo mnazi mmoja shule yangu...dullla mihogo
Na chips kwa za sh 100 kwa bamdogo...
Umenkumbusha mbali walim wangu mkwayaa,jj,mtasa,kiwilo.
 
Jamaa naskia ni ana viumbe vidogo uvunguni sijui ni kweli

Halafu wanaume wenye viumbe vidogo kwa kukimbilia chumvini haoooo wanaongoza lol.

Unajua in reality tulijadili tu hizo picha hatukumjadili yeye that much sababu hatumjui in details
so yaweza kuwa ni tajiri...good for him....hapa JF sometimes we are having fun....nothing serious...

Cc snowhite...
Haya mwingine huyo..
Bcc Kaizer
 
Last edited by a moderator:
Angalia nsije nikakutangaza kama Dramaqueen alivyontangaza alberto...
Hata hiyo juice ninyime ila baba ujue kukoroga.
Ukishindwa nakutangazaaaaa na utabadili id
Hhahahahahahahahahahahahaha
Nimechora mstari katikati
Nadhamini pambano
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…