aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,224
na tofauti yako na yeye hapa ni ipi labda? au kwa ajili yeye ameweka picha? au sababu yeye kaonyesha mengi yake na wewe unaongelea uwezo wa wazazi??
Mmmh..kwani umesikia mi nina viumbe wadogo sijui nini hebu ulizia kwanza?
Nipe referal
Ndo nini.
I didn't mean to inspire anybody, just putting things into perspective.
Lol!Afu nyie walimu si mlikuwa mkitukagua nkono sweta umesahau saiz yangu:what:
Halafu huko mliko Si kuna Uhuru sana wa kuchagua?
sasa Alberto kachagua hayo mabenz na marange kuu kuu (per ngabu),kwanini usiheshimu tu machaguo yake !!
NB.Nijibu kwa kiswahili!!
Acheni wivu wa kike. Tunapongea jambo kama hili lazima tulenganishe na jambo lingine liweze kuleta maana au ufafanuzi.
Katika matajiri mimi bado sipo. Lakni naelekea huko mkuu. Utajiri sio kuwa na nyumba mbezi na kagari.
Am thinking big hommie!!
Mimi sijaona tatizo la huyu Wakili Msando, gari zake, nyumba zake, pesa zake...na wewe tafuta zako!
sasa hiyo #getangry #Getinspired ina faida gani kwa watu wengine zaidi ya kuringishia tuu. mbona uko chadema kuna kina zito na kina mbowe wana hela ndefu zaidi na hawaposti instagram? na wanasheria kina mkono nao wafanyeje? au wakina Masha nao waringishie itakuwaje? kuinspire watu siyo kuwaringishia magari yako hebu ona Mengi anavyoangaika na kina mama na saccos ndo ujue maana ya #getangry #Getinspired
Sio kila mtu anahusudisha magari.
Kuna machizi wananunua vigarigari hivi na kuwaachia baby mamas tu wao wanadeal na mambo makubwa kama real estate.
Ni huko bongo tu ambako watu hawana elimu ya kutofautisha what is an asset and what is a liability ndo mnashangaa magari.
Nakumbuka back in the early 1990s nilikuwa napitia library ya mshua, nikaona kitabu cha business advise cha Harvey Mackay, kinaiitwa "Swim With The Sharks Without Being Eaten Alive".
One of the nuggets in it was "Buy cheap cars and expensive houses".
Not too many of us had the advantage of even knowing who Harvey Mackay is, certainly not at that age.
Leo ukiona fulani ana gari la bei mbaya kama ujiko nakushangaa utalimbuka mpaka lini?
CC Nyani Ngabu
Kiranga hiki kitabu kinapatikana wapi hapa bongo?
Mkuu acha maisha ya ku imagine na ku assume..
Range Rover Evoque hapa hapa Tz unaipata mpya kwa dola 1300 tu kwa mwezi
huko majuu ndo kabisa watu wanalipa dola 300 tu kwa mwezi na wanaendesha gari mpya za kila aina...
vitu vingine tunaviona vikubwa sababu hatuna infos