Celebrity Lawyer Albert Msando: Utajiri wa ghafla wamchanganya, afanya kufuru

Status
Not open for further replies.

nilitumiwa BB moja iko locked Verizon aisee ninachoweza kufanya na hio simu ni call and txt sms....nimeiweka pambo tu sina kazi nayo maana haina tofauti na kitochi
 
Wewe boya, Msando ni lawyer wa wasanii wengi tu,including weusi, Ay na Fa.
Hivi unajua mchizi kaanda network ya ma rafiki wanaoweza kukutana na kupeana michongo itafanyika mwaka ni?

karibu tujiunge

Vipi tena? kwani kuna mtu kakasirika??? Thomassssssssssssssssss #Mdogo_Mdogo .
 
Acheni wivu wa kike. Tunapongea jambo kama hili lazima tulenganishe na jambo lingine liweze kuleta maana au ufafanuzi.
Katika matajiri mimi bado sipo. Lakni naelekea huko mkuu. Utajiri sio kuwa na nyumba mbezi na kagari.
Am thinking big hommie!!

aminiusiamini kichwani mwako panakutosha mwenyewe
 
najijua kwa roho na tabia za hii ngozi nyeusi..
hata muanzisha mada angepata akili na nyota labda ya huyu msando..
nae msando angekuwa hapa anagonga fitna juu ya laviish lifestyle ya instagram
 
Duh full mpambano aiseee.
Sie wengine hatuna hata uwezo wa kununua baiskeli.....sijui tuget angry au tuwe inspayadi?? Lol!! Heaven on Earth nichagulie kimoja!
 
Last edited by a moderator:
kwa wiki nzima nilikuwa naipita hii thread bila hata kuifungua. leo nimeifungua, nimejikuta naisoma pages zote 20, lol. Mpambano ulikuwa mkali
 
Vijana mna kazi. Naona raha zenu nyie ni kurushana roho tu. Si uongo, mnachangamsha jamvi kiuhakika. Mnastahili hongera nyingi tu. Sisi tunaoshangaa bila shaka tumeishi ulimwengu mwingine "reserved" sana.
 
huyu si ndio alikua anatumwa na zzk akachukue mkwanja kwa singasinga seth?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…