P. Majaribu
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 1,192
- 623
Ha ha... jamaa anakomesha
Wabeba box hii inawauma zaidi ya mama mjamzito,miaka yote mliobeba box mmeishia kujua slang tu,mfukoni hamna kitu.Only in bongo mtu anaweza kujisifia kwa vibenzi vya tangu enzi za Nyerere ambavyo sehemu nyingine haviruhusiwi hata kuwa taxi kwa sababu vimezeeka sana.
Halafu watu hawaelewi tofauti ya asset na liability.
Sasa huyu angekuwa na Porsche Macan Turbo 2015 kama ya my dude mngesemaje?
Cc Nyani Ngabu
Wewe sasa hivi unamiliki gari gani? Naona unatoa povu woakati umekaa kwenye burnsen burner ya dala dala #getinspired
Wabeba box hii inawauma zaidi ya mama mjamzito,miaka yote mliobeba box mmeishia kujua slang tu,mfukoni hamna kitu.
Mimi niulize stocks and bonds, yachts and private ponds. I'm full of paper, not money it's bank statements.
Kuna watu wao maisha yao qameyatoa kitafuta dawa ya kansa na ku solve Poincare's conjecture.
Hawana hela wala nini.
Wamepata zawadi mwishowe, milioni za dola, wakakataa.
Ukiwa unatukuza hela wewe si lazima kila mtu awe hivyo.
Do you even know what Poincare's conjecture is?
Wewe unatafuta nini?
you must be high flyer.
Nimeona kama niulimbukkeni wa kupindukia kama ni magari ni yake majumba niyake na kama nifaida anaipata mwenyewe au nikuazimisha aitwe bilionea nimeona niulimbukeni tuu na hakuna tofati nahao wanaoringia vya babazao very board
Kuna anayemchukia kwa kupiga picha na hivyo vi-gari vikuukuu?
sasa hiyo [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Get]#Get angry[/URL] [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Get]#Get inspired[/URL] ina faida gani kwa watu wengine zaidi ya kuringishia tuu. mbona uko chadema kuna kina zito na kina mbowe wana hela ndefu zaidi na hawaposti instagram? na wanasheria kina mkono nao wafanyeje? au wakina Masha nao waringishie itakuwaje? kuinspire watu siyo kuwaringishia magari yako hebu ona Mengi anavyoangaika na kina mama na saccos ndo ujue maana ya [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Get]#Get angry[/URL] [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=Get]#Get inspired[/URL]
Huyu jamaa ni mshamba sana alafu hajijui kama ni mshamba.
Tatizo liko wapi? Tupe instagram account yako na wewe tuone una nini:becky:. Ktranga kweli kweliRange gari ya kutengenezwa na TATA wahindi watu washaacha kutumia siku hizi. Tumewaachia hoi polloi, gari tulikuwa tunatumia 1995 Range Rover Vogue wakati inatengenezwa na Muingereza ina heshima yake.
Hata baby mama kumnunulia ni kama unamtusi vile.
Sema jingine.