Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa manake hata nyumba yenyewe ya kawaida tu.
I mean, yaani hicho ki-benz kimeenda age halafu unapiga nacho picha na kuziweka mtandaoni?
Oh well, to each his own.
Chadema subirini Slaa awe Rais atawanunulia magari na majumba kama ya Msando
Duh, kibenz cha macho ya paka tangu enzi za Nyerere.
Nakumbuka Nyerere alikuwa nacho kimoja cha hivi anakitumia.
Wabongo wengine hata hawajui kwamba kuringishia kibenzi hiki ni scandal, nchi nyingine huruhusiwi hata kukifanya taxi on the grounds kwanza kimepitwa na wakati.
Duh, kibenz cha macho ya paka tangu enzi za Nyerere.
Nakumbuka Nyerere alikuwa nacho kimoja cha hivi anakitumia.
Wabongo wengine hata hawajui kwamba kuringishia kibenzi hiki ni scandal, nchi nyingine huruhusiwi hata kukifanya taxi on the grounds kwanza kimepitwa na wakati.
Sasa standard za Kansas huwezi zitumia Dar, so kwa kiwango cha vumbini bado ni chuma cha ukweli👎
ha haaa mie mwenyewe nime 'get inspired'
hapo kuwa kabla hujaanza leta fujo mjini kwa kina amu na wenzie
basi lishe na gym kwanza haha haaaa
Duh, kibenz cha macho ya paka tangu enzi za Nyerere.
Nakumbuka Nyerere alikuwa nacho kimoja cha hivi anakitumia.
Wabongo wengine hata hawajui kwamba kuringishia kibenzi hiki ni scandal, nchi nyingine huruhusiwi hata kukifanya taxi on the grounds kwanza kimepitwa na wakati.
Hahahahahahahahaha
Kwa post ya amu wallahi Albert atatamani kuweka video ya shughuli zake!
Kutetea utajiri wake na pande hizo
Aseee amemuua vibaaaaaya!
Dah!
Kama namuona na vile vizibao vyake!
í-½í¹Ší-½í¹Ší-½í¹Š hahahahahaha aisee amu umepona kwa hilo jembe?
Unanivunja mbavu...hahaa
kwa hiyo nchi zingine wakikiona tu barabarani 'hewa inachafuka'
ni ishara ya usalama hatarishi hahahaaa