Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaaaanza water waaaaater!hahaaa unajua anapaswa ku deal na wadada waliopitia Arusha school na Nairobi huko tu
akija kwa watoto wa mjini ambao wewe magomeni kwa macheni ni kituo cha basi
wao macheni wanamjua hadi shangazi yake basi lazima uwe fit kote kote
sio dakika mbili unahema hema...mwisho ndo haya.....hahaha
NN wallahi utafanya watu wajining'inize ujue!Ni kama tu vile mtu apige picha na Hummer...
Kibenz kinaweza hata kisi-pass emission test:becky:
NN wallahi utafanya watu wajining'inize ujue!
Kwa maisha ya Msando kuna wabeba box kibao hawawezi kumfikia hadi wengine wanafikia nyumban wakitoka. Nina uhakika hiyo range wengine huko huko mnaishia kuiona kwa watu.
mwenzaaaaangu!Kiukweli katika dunia ya world wide web tunapaswa kuwa makini na tunavyo ringishia...
usije na wewe kutuwekea madera yako yale kumi ya kariakoo...ukajiita 'fashionista' ha haaa
Kwa maisha ya Msando kuna wabeba box kibao hawawezi kumfikia hadi wengine wanafikia nyumban wakitoka. Nina uhakika hiyo range wengine huko huko mnaishia kuiona kwa watu.
Kwani ana maisha gani huyo jamaa?
Na kwani kufikia nyumbani kuna ubaya?
Na kwa taarifa yako kuwa na Range Rover wala siyo ishu mbona....
Watu wanamiliki cribs kuanzia Mbezi Beach mpaka Ikungu na wala hawana muda wa kupost huko kwenye hayo ma social media.
Kwani ana maisha gani huyo jamaa?
Na kwani kufikia nyumbani kuna ubaya?
Na kwa taarifa yako kuwa na Range Rover wala siyo ishu mbona....
Watu wanamiliki cribs kuanzia Mbezi Beach mpaka Ikungu na wala hawana muda wa kupost huko kwenye hayo ma social media.
Tuonyesha macribs yako mukubwa. Au unajibanza kwenye kachumba na sebule hapo kwenye hiyo flat mbovu
Mwenzio anatamani kuwa na traffic lights nyumbani oh!.
We kagari kamoja hako hako umpelekee cutie wako shule,mwenzio kaboy kake kanajenga ghorofa na noti za dollars!
Kwa wanaojua kutengeneza na ku maintain wealth magari ni moja ya investments mbovu kabisa!
Halafu hizo noti nyekundu siyo (US) dollars....labda kama ni Arusha dollars:becky:
Inaonyesha una maisha magumu sana, rudi tu hom uungane na Le mutuz kumiliki blogu
Nini kinaonyesha nina maisha magumu sana?
Chuki zako kwa mafanikio ya wenzako
sasa hiyo #getangry #Getinspired ina faida gani kwa watu wengine zaidi ya kuringishia tuu. mbona uko chadema kuna kina zito na kina mbowe wana hela ndefu zaidi na hawaposti instagram? na wanasheria kina mkono nao wafanyeje? au wakina Masha nao waringishie itakuwaje? kuinspire watu siyo kuwaringishia magari yako hebu ona Mengi anavyoangaika na kina mama na saccos ndo ujue maana ya #getangry #Getinspired
Kuna anayemchukia kwa kupiga picha na hivyo vi-gari vikuukuu?