Celebrity wa kibongo wana nini? Wema sepetu nimemtumia iphone7 kasema haipendi



Ukiishi Dar es salaam kuzeeka ni decision yako mwenyewe. Ukitaka kila mwaka unaweza kuwa na miaka 22 na birth certicate yako itaonyesha hivyo.
 

Kwani alikuomba???
 
Kibibi cha 1987 hichoo antaka tujue ana I phone 7 Wenzake wanahangaika kufungua Brands ye ana post Simu daah
Sijui tatizo nini?,upeo?,kukosa washauri?.,baada ya miaka Kama 2 ijayo atapoteza mvuto,na hata wa kumhonga elfu kumi akakosa na vijana washanchezea vya kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…