MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Nmemtumia huyu dada Iphone 7 kwenye siku yake ya kuzaliwa cha ajabu ameenda kunianika instagram kwamba haipendi na atampatia shabiki,nakua kama bwege
Hawa maceleb wa kibongo sijui huwa wana nini,hata mm nawajua mashabiki kwanini sikuwapa wao nikaamua kumpa yeye?
Hawa maceleb wa kibongo sijui huwa wana nini,hata mm nawajua mashabiki kwanini sikuwapa wao nikaamua kumpa yeye?