Celine Dion on her son's wedding

Ayubu wa kwenye biblia alikosea nn hadi aka-suffer?

Umequote mtu asielewa anachotaka kuelezea
Je? Ushawahi kukaa na kujiuliza kwamba suffering ina faida gani kwa kiumbe.

Je unadhani kuna kusudi lolote katika kuteseka au watu kupata maumivu ya hapa na pale.

Hadithi ya Ayubu ilitolewa ili kusudi watu waache kuwatenga waathirika wa majanga kana kwamba ni wadhambi sana. Ili kubalance. Ndiyo maana kwenye mada iliyofuata pametenganishwa makosa na dhambi.

Wanadamu tunapaswa kufundishana ili kuyaondoa makosa yanayopelekea mateso. Anayekosea aelekezwe. Cha kukemewa na kutengwa ni dhambi pekee. Falsafa inakuzwa kwa maswali kama haya, asante.
 
Rudia tena part ya ujumbe wako nloquote mwanzo, haiendani na ulichoandika hapa

Nitarudia, Umesema:
"People shouldn't suffer unless they are guilty of something. The degree they ll suffer depends much on the number of guilties than the magnitude of a single guilt"

Kwamba WATU HUTESEKA TU ENDAPO WAMEFANYA MAKOSA, NA MATESO YAO YANATEGEMEA IDADI YA MAKOSA YAO NA SIO KIWANGO CHA KOSA MOJA MOJA.

Hio statement na nilichokuuliza haviendani na jibu ulilotoa, unaenda nje ya mada, jibu swali au kubali kwamba ulichoquote ni impractical then tuendelee, na note pia sio kila kitu unachosoma kwenye philosophy ni ukweli, vingine ni half truths, vingine ni no truth na vingine ni lies kabisa na hayo yote huoneshwa kwa aidha kuwepo au kutokuwepo kwa real lufe facts. Na kwa kutambua hilo ndo maana nikakuchallenge na swali lenye fact, so na wewe nipe jibu linaloendana na swali ila liwe na fact
 
Sure thing, nimequote sehemu ndogo tu ya blogu nzima.

Mifano ipo kulekule imetolewa. I am sure ukiisoma blogu utachallenge vizuri zaidi.
Ni vizuri ukaiona source maana utamuelewa (au kutomuelewa) vizuri zaidi mwandishi.

Kuhusu Ayubu nadhani nilijitahidi kujibu tayari. Hadithi ile ilikuwa na malengo yake.
 
Na katika tafsiri umeivuruga maana kiasi umeistiffen kanuni wakati mwanzo ilikuwa flexible. Kwa kubold ntarekebisha;

Kwamba WATU HAWATAKIWI KUTESEKA ISIPOKUWA ENDAPO WAMEFANYA MAKOSA KOSA FULANI, NA MATESO YAO YANATEGEMEA ZAIDI IDADI YA MAKOSA YAO NA SIO KULIKO KIWANGO CHA KOSA MOJA MOJA.
 
By the way, it is sad kwa huyo mama kwenye picha. Lakini huyo Celine Dion. Ingawa Celine ana matatizo ya rare neurological disorder ambayo yanampa mauvivu kwenye muscles zake, haijamfanya awe kama huyo mama kwenye hiyo picha uliyopost (pole kwa huyo mama lakini). Juzi juzi tu hapa Celine aliuza one of her many houses ambayo iko Las Vegas (was sold for about US$30million), na yuko fit tu anakula pesa yake
 
Yes, life is indeed unpredictable, and circumstances can change unexpectedly. It is important to value what we have and be grateful for it, while also preparing ourselves for the uncertainties of the future.

Taking care of our spiritual well-being, and physical health, and treating others with kindness are valuable principles to live by. May we all strive for better, healthier, and more fulfilling wedding days ahead.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…