Celtel = Zain Why???

Celtel = Zain Why???

Mama Lao ebu soma what Mr Bashar Arafeh the chief operating officer (COO) for Zain East Africa Region, said in a statement that the new name is more colorful and targets mass markets, with the slogan shifting to 'a wonderful world' from 'making life better' for all of the 22 operations of the group worldwide


Kevo,

How much are they paying you to betray your own people??!!
 
1. Tehetehe... sisi Watanzania bwana... I assure you kampuni hili liki-perform... jina pia utalipenda.

2. Zain linatokana na neno la kiarabu... lenye maana "Wonderful" ndivyo at least nimesikia... na ndio maana jamaa wanasema "the wonderful world"

Kwa hiyo.... hii ya kupata shida na jina ni tatizo la watanzania tu... siku hizi hawana shida tena na kuangalia mambo ya uchumi... siku hizi ni kuangalia majina na siasa.


What?! I can't believe!
 
celtel now zein with 51% of shares and 49% government of Tanzania!!! it has nothing to do with tax holiday but the company was sold to Arabic company with the name of zein. mo ibrahim was the owner of celtel
 
watanzania tuna ila moja.
hatuulizi suala kwa nia ya kujifunza, ila tunataka watu wawe kwenye side yetu kulalamika tu kuhusu mambo.

mkiambiwa maana ya neno 'zain' na imetokea wapi, mnasema ni marketing officers wa zein~
 
I think, KEVO+KASHESHE+PAKASHUME+... = ZAINN!

Doug,grow up for a minute am not anybody's marketing consultant.Am A Learned Advocate and I was writing what I believe if you have something more about Zain and any other company post it and get us all educated!
 
Nimekuwa nikijiuliza nini maana ya kubadili badili majina ya makampuni makubwa kama vile, SHERATON iligeuka kuwa ROYAL PALM na sasa MOVENPICK. Pia makampuni ya simu kama Mobitel ikageuka kuwa tiGO. Lakini hili la sasa la kampuni ya simu celtel kuwa ZAIN limenifumbua macho. Nimejiuliza huku na kule mwisho nikapata jibu kwamba, kila kampuni hupewa kitu kinaitwa "Tax Holiday" ambapo mkataba huwa miaka mitano mitano ambapo kampuni husika huwa haipaswi kulipa kodi yoyote. Kwa hiyo hzinduzi wa makampuni haya kwa kubadilisha majina nimeona ni mzigo kwa jamii, kuna ufisadi mkubwa unafanywa, wananchi tumechoka, hatutaki.

Call it zaina!!!

teh teh teh!!!
 
Doug,grow up for a minute am not anybody's marketing consultant.Am A Learned Advocate and I was writing what I believe if you have something more about Zain and any other company post it and get us all educated!


Kevo, I thought you were writing what you know beyond doubt about zaina!! But...

Anyway, you got to fulfill your responsibilities as an employee (Zainna Marketing consultant & legal officer). Just do it, otherwise you won't be paid!
 
Teh teh kumbe hilo jina na mirangi imetuboa wengi! Nilidhani ni pekeyangu... teh teh..

Well labda tutaizoea, ila wakitaka tuipende washushe bei kama Tigo tulonge longe mpaka kuche vinginevyo halipendwi jina wala rangi swala hapa ni unafuu wa 'bora maisha' (JK et al. 2005)
 
Swala hapa ni hawa zain wamenunua 51% share au 100% share? kama GOT inamiliki 49% share ni lini ilipata gawio la hisa (dividend), kama bado sababu ni zipi? au inajiendesha kwa hasara! najua NMB walishatoa gawio la hisa kwa GOT.

Kabla ya hisa za celtel kuuzwa thamani za hisa za GOT zilikuwa kiasi gani? Kuna uwezekano wa GOT kuuza hisa zake kwa wananchi kama inavyotaka kufanya kwa hisa zake NMB?
 
I think, KEVO+KASHESHE+PAKASHUME+... = ZAINN!

Kupoteya kwa Kunguru weupe ni ishara tosha ya kushindwa kuhimili mazingira yao - hii ni pengine kukataa kujielimisha kama wanavyofanya Kunguru weusi!

Angaliya na wewe usipotele kama jina lako linavyosema...
 
Ila binafsi hili jina la "Zain" linanibore sana...halijakaa kibiashara...wangemalizia tu kama ni Zainab tujue. Halafu hiyo mirangi yao Black, sijui light blue, dark pink...haiendi haiendi...please....


mtayazoea tu yote hayo, wingi hamkutegemea kama tiGo ingezoeleka hiyo, human being are relactant to changes
 
Nimekuwa nikijiuliza nini maana ya kubadili badili majina ya makampuni makubwa kama vile, SHERATON iligeuka kuwa ROYAL PALM na sasa MOVENPICK. Pia makampuni ya simu kama Mobitel ikageuka kuwa tiGO. Lakini hili la sasa la kampuni ya simu celtel kuwa ZAIN limenifumbua macho. Nimejiuliza huku na kule mwisho nikapata jibu kwamba, kila kampuni hupewa kitu kinaitwa "Tax Holiday" ambapo mkataba huwa miaka mitano mitano ambapo kampuni husika huwa haipaswi kulipa kodi yoyote. Kwa hiyo hzinduzi wa makampuni haya kwa kubadilisha majina nimeona ni mzigo kwa jamii, kuna ufisadi mkubwa unafanywa, wananchi tumechoka, hatutaki.



Hapana Mkuu sidhani kama Tax Holiday ndiyo sababu ya celtel to rebrand its name.Coz before Celtel was formely known as Celtel International therefore Celtel Tanzania had to join its sister companies in Africa and the Middle East in adopting the brand name Zain as part of rebranding the entire African operations from Celtel.

Before, the Kuwait mobile operator was trading in 14 African markets as Celtel International.

This move is aimed at unifying the company's 22 operations to become one of the leading borderless networks in the world.

Sasa when you talk about Sheraton being Royal Palm from my past knowledge of this company is Sheraton failed to run the hotel therefore they had to sell it to Royal Palm therefore dont be astonished to hear it one day also being named Hilton Hotel.
The same thing applies to Novotel in Arusha which collapsed and it will soon be opened and be named Holiday Inn.


Sielewi hilo la Celtel, lakini huu mtindo wa makampuni kubadilisha majina ni ujanja wa kutumia hiyo loophole ya Tax Holiday iliyoanzishwa na serikali ya Mwinyi kuvutia foreign investors. Sidhani kama sheria hii imeshafanyiwa mabadiliko makubwa, labda iwe ni siku za hivi karibuni tu. Jamaa waliojenga Sheraton kwa mara ya kwanza walikuwa wamenunua franchise ya Sheraton International ambayo iliwapa mwanya wa kupata Tax holiday kama investor wa nje. Baada ya muda wa hiyo Tax holiday kukaribia kuisha, ndipo wakanunua franchize ya Royal Palm na kuanza kama foreign investor mpya mwenye kustahili Tax holiday nyingine.

Siamini kuwa Sheraton wa kikweli kweli eti wanaweza kushindwa kuendesha hoteli ile ya Dar es Salaama na kuiuza kwa Royal Palm ambao ni kati competitors wake wakubwa, hapana! hiyo ni vigumu sana katika ulimwengu huu wa mashindano ya kibiashara.

JUZI JUZI tu Richmond wamejifanya kuuza biashara zao kwa Dowans, ingawa sasa tunafahamu kuwa yote hayo ni makampuni ya mtu mmoja. Yote hiyo ni katika harakati za wawezezaji hawa kutumia loophole ziolzoko kwenye sheria zetu.
 
the two images milky way galaxy and Zain logo
 

Attachments

  • zain-logo.gif
    zain-logo.gif
    3.3 KB · Views: 81
  • images.jpeg
    images.jpeg
    3.2 KB · Views: 46
Nasikia Twisa kaenda Zainab namshauri aenzishe kitu ka extreme huko ,mwisho wa malalamiko haya!!!!!
 
celtel now zein with 51% of shares and 49% government of Tanzania!!! it has nothing to do with tax holiday but the company was sold to Arabic company with the name of zein. mo ibrahim was the owner of celtel
... Ndio unaamka?? Ni Zain na sio Zein...Vipi wewe???
 
Sielewi hilo la Celtel, lakini huu mtindo wa makampuni kubadilisha majina ni ujanja wa kutumia hiyo loophole ya Tax Holiday iliyoanzishwa na serikali ya Mwinyi kuvutia foreign investors. Sidhani kama sheria hii imeshafanyiwa mabadiliko makubwa, labda iwe ni siku za hivi karibuni tu. Jamaa waliojenga Sheraton kwa mara ya kwanza walikuwa wamenunua franchise ya Sheraton International ambayo iliwapa mwanya wa kupata Tax holiday kama investor wa nje. Baada ya muda wa hiyo Tax holiday kukaribia kuisha, ndipo wakanunua franchize ya Royal Palm na kuanza kama foreign investor mpya mwenye kustahili Tax holiday nyingine.

Siamini kuwa Sheraton wa kikweli kweli eti wanaweza kushindwa kuendesha hoteli ile ya Dar es Salaama na kuiuza kwa Royal Palm ambao ni kati competitors wake wakubwa, hapana! hiyo ni vigumu sana katika ulimwengu huu wa mashindano ya kibiashara.

JUZI JUZI tu Richmond wamejifanya kuuza biashara zao kwa Dowans, ingawa sasa tunafahamu kuwa yote hayo ni makampuni ya mtu mmoja. Yote hiyo ni katika harakati za wawezezaji hawa kutumia loophole ziolzoko kwenye sheria zetu.

The whole thing sounds crazy to me lakini is this tax holiday for real??? Celtel iko kwenye 22countries why would they change their name only to benefit from tax holiday in Tanzania????
 
Kupoteya kwa Kunguru weupe ni ishara tosha ya kushindwa kuhimili mazingira yao - hii ni pengine kukataa kujielimisha kama wanavyofanya Kunguru weusi!

Angaliya na wewe usipotele kama jina lako linavyosema...


I was born a survivor! A mere Pakashume will never ever threaten my life! That is why I am still existing and only the fittest will survive! Got it??
 
Mama Lao ebu soma what Mr Bashar Arafeh the chief operating officer (COO) for Zain East Africa Region, said in a statement that the new name is more colorful and targets mass markets, with the slogan shifting to 'a wonderful world' from 'making life better' for all of the 22 operations of the group worldwide

Rebranding means something is undercover.

I think Celtel was introduced in 2002 if not 1. The first step was to change the original brand with the reason of making it similar to the brand used in other countries (integrating market?). New name means new company, new management, new tax holiday, new way of fisadization.
Another election is coming, let them accumulate money from the locals!!!!
 
Back
Top Bottom