Celtel = Zain Why???

 
Lazima kuna ufisadi tu hapa, si bure. Kwa kweli mafisadi watatumaliza.
 


japo sina uhakika na kinachoendelea zain, hili la kubadilisha majina kwa ajili ya kukwepa kodi ni ufisadi unaotumika. hali hii nimeiona hata botswana.
 
Hayo ni mawazo ya nyinyi msiojua biashara za kisasa.ni mambo ya kawaida watu kuuza na kununua makampuni makubwa hivyo kupelekea kubadili majina.
 
Ila binafsi hili jina la "Zain" linanibore sana...halijakaa kibiashara...wangemalizia tu kama ni Zainab tujue. Halafu hiyo mirangi yao Black, sijui light blue, dark pink...haiendi haiendi...please....
sijui kama ni kweli lakini nasikia kibosile mwenye mali ana binti anaitwa zainab akaona bora amuenzi,mambo ya fedha hayo.na sisi tuanzishe mobile kampuni yetu tuiite 'kalumanzilatel'!
 
sijui kama ni kweli lakini nasikia kibosile mwenye mali ana binti anaitwa zainab akaona bora amuenzi,mambo ya fedha hayo.na sisi tuanzishe mobile kampuni yetu tuiite 'kalumanzilatel'!
Haya ni maneno ya mitaani kabisa aisee.Fungua mtandao usome Zain ni nini .Hii ni kampuni ya simu iko Kuwait kwa miaka mingi sana.
 

Get my point mkuu....
22 countries na ukilinganisha customer base utakuta Celtel Tz wana base ndogo kulinganisha na nchi zingine. I doubt if they changed their name bcoz of tax holiday from Tanzania.
Celtel was quite a strong brand in averyway so we need to know why!!! was it for Tanzania or for the zainab world???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…