evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Duuh wajenzi tuna shida sana,
Nimekwenda kununua cement Leo.
Hardware 2 wakaniambia hawana cement. Ikabidi niende dukani Kwa mshkaji ninayemfahamu akaanza kulalamika kwamba hauzi sijui anataka afatulie tofali za kuuza.
Nikamkomalia sana na kumdadisi mbona wengine hawana ndipo akanieleza wanazo ila wanazificha wanasikilizia bei mpya kuanzia Leo itajulikana rasmi.
Basi baada ya kumsihi sana kwamba ninakazi naendelea nayo Kwa shingo upande akaniuzia Kwa sh 16500 Kwa mfuko, wakati juzi tu ilikuwa inauzwa sh 14,500 Kwa mfuko.
Na cement inayopatikana sasa ni Dangote 42 only.
Hapa ni DSM sijui huko mikoani itakuwaje.
Kunatatizo gani kwenye viwanda vingine vya cement?
Nimekwenda kununua cement Leo.
Hardware 2 wakaniambia hawana cement. Ikabidi niende dukani Kwa mshkaji ninayemfahamu akaanza kulalamika kwamba hauzi sijui anataka afatulie tofali za kuuza.
Nikamkomalia sana na kumdadisi mbona wengine hawana ndipo akanieleza wanazo ila wanazificha wanasikilizia bei mpya kuanzia Leo itajulikana rasmi.
Basi baada ya kumsihi sana kwamba ninakazi naendelea nayo Kwa shingo upande akaniuzia Kwa sh 16500 Kwa mfuko, wakati juzi tu ilikuwa inauzwa sh 14,500 Kwa mfuko.
Na cement inayopatikana sasa ni Dangote 42 only.
Hapa ni DSM sijui huko mikoani itakuwaje.
Kunatatizo gani kwenye viwanda vingine vya cement?