Anthony Paschal
JF-Expert Member
- Oct 23, 2013
- 513
- 11
Chukua simba mkuu hutajuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema vzr kabisa!! Vipimo na uchanganyaji ndio mhimu bila kusahau kumwagilia maji ya kutosha iwe kwa tofali au plasterMim naona cement zote ziko poa tu kuanzia Nyati, Twiga, Simba, Kifaru, Camel, Dangote, Lucky, Kilimanjaro nk nk. Kikubwa ni kuzingatia vipimo vya mchanga na kokoto kwenye ujenzi wako.
Dangote cement mpya.Dangote zipo za aina mbili ipi nzuri?
Hahahaah Ile ndio yenyewe.!Vipi kuhusu ile ya nyati isiyobomolewa na mabomu,baruti wala maporomoko ya mawe?
Ha ha mkuu pozorana sio cement. Ni additive kwenye kutengeneza cement. That why cement yake ibaitwa pozorana portland cement. Ziko nyingi. Kuna cement inaitwa limestone portland cement. Kwaufupi neno moja kabla ya Portland cement huonyesha additive walioweka kutengeneza cement
Vipi ukipiga nyumba kwa greda haibomoki au ni fiksiVipi kuhusu ile ya nyati isiyobomolewa na mabomu,baruti wala maporomoko ya mawe?
jf hakika ni raha tupu.duh machungu ya man u kufungwa yameishia hapa.big up gama dahPozorana
Tumia simba cement Imara. Hizo nyingine ni nzuri lakini ukiitumia ukuta unaonekana mweusi.mimi nipo arusha mbona hiyo cjawahi kuisikia.
Tumia 42.5R mkuu. Ndio kibokoDangote cement mpya.
Ndio nzuri
Ila tumia za nje pia zina ubora....
Sawa nalifanyia kazi. Bo$$Tumia 42.5R mkuu. Ndio kiboko