Central Police Dar es Salaam kuna maaskari vishoka

Central Police Dar es Salaam kuna maaskari vishoka

Joined
Dec 12, 2017
Posts
20
Reaction score
33
Kupatikana kwa haki Tanzania hususani central police DSM pale imekuwa ni changamoto hususani kesi za utapeli na uwizi, maaskari wamegeuka vishoka wa kuwatorosha watuhumiwa wa utapeli.

Mtu anaetapeli amejiwekea immunity kituo kikubwa kama central ili tu wadai wakifika central kufuatia madai yao wao wanamtonya mtuhumiwa ajifiche au atoroke mji ili asiweze kukamatwa Alafu wao wanapozwa na mtuhumiwa.

Unafuatilia mamilioni ya pesa Askari yupo tayari apewe 20k avujishe mchongo ili wewe ukose haki yako.
Magufuli amka baba
 
Kupatikana kwa haki Tanzania hususani central police dsm pale imekua ni changamoto hususani kesi za utapeli na uwizi, maaskari wamegeuka vishoka wa kuwatorosha watuhumiwa wa utapeli. Mtu anaetapeli amejiwekea immunity kituo kikubwa kama central ili tu wadai wakifika central kufuatia madai yao wao wanamtonya mtuhumiwa ajifiche au atoroke mji ili asiweze kukamatwa Alafu wao wanapozwa na mtuhumiwa.
Unafuatilia mamilioni ya pesa Askari yupo tayari apewe 20k avujishe mchongo ili wewe ukose haki yako.
Magufuli amka baba
Afande nani kafanya uhuni huu? Mtaje ashughulikiwe mkuu
 
Kuna siku nilikuta sehemu, nikaona askari anavutana jamaa mmoja hivi(nadhani alienda kumkamata).

Kuna dogo mmoja pembeni alirusha jiwe na kumponda yule mgongo halafu dogo akakimbia. Kwakuwa hayakuwa yananihusu nikapita hivi.

Kufika mbele nikakutana na dogo, kumuuliza kama anamfahamu yule mtuhumiwa na ana msala gani, dogo akanijibu, "yaani bro hawa polisi ...(tusi) sana, mimi simjui yule jamaa(mtuhumiwa) ila nikikuta polisi sehemu anagombana na jambazi, namsaidia jambazi tumuue polisi"
 
Kupatikana kwa haki Tanzania hususani central police dsm pale imekua ni changamoto hususani kesi za utapeli na uwizi, maaskari wamegeuka vishoka wa kuwatorosha watuhumiwa wa utapeli. Mtu anaetapeli amejiwekea immunity kituo kikubwa kama central ili tu wadai wakifika central kufuatia madai yao wao wanamtonya mtuhumiwa ajifiche au atoroke mji ili asiweze kukamatwa Alafu wao wanapozwa na mtuhumiwa.
Unafuatilia mamilioni ya pesa Askari yupo tayari apewe 20k avujishe mchongo ili wewe ukose haki yako.
Magufuli amka baba
Hii nchi bana. Uadilifu sifuri. Tukiitwa manyani tunafura na kumaindi.

Ila nyani bana. Ukitembea porini kulia na kushoto ni pori ila kuna kanjia katikati ukamuona nyani anakufukuza na wewe kukimbia. Ukageuka nyuma bado anakufukuza tu mara ghafla unamuona anachepuka kichakani.

Usipunguze mwendo wewe kimbia. Nyani mshenzi anavyochepuka hivyo kichakani anazidi kukukimbiza bila kumuona kukuzuga upunguze mwendo au utembee. Halafu anakuibukia kwa mbele na kukunja shati na kukuzaba vibao vya kutosha.

Ilinitokeaga kwenye mpaka wa msumbiji na malawi miaka ya nyuma. Nilimtembezea mkono huyo nyani.
 
Kupatikana kwa haki Tanzania hususani central police dsm pale imekua ni changamoto hususani kesi za utapeli na uwizi, maaskari wamegeuka vishoka wa kuwatorosha watuhumiwa wa utapeli. Mtu anaetapeli amejiwekea immunity kituo kikubwa kama central ili tu wadai wakifika central kufuatia madai yao wao wanamtonya mtuhumiwa ajifiche au atoroke mji ili asiweze kukamatwa Alafu wao wanapozwa na mtuhumiwa.
Unafuatilia mamilioni ya pesa Askari yupo tayari apewe 20k avujishe mchongo ili wewe ukose haki yako.
Magufuli amka baba
Uyo unaetaka ahamke ndo kubwa la majizi, acha kuwachafua police
 
Kupatikana kwa haki Tanzania hususani central police dsm pale imekua ni changamoto hususani kesi za utapeli na uwizi, maaskari wamegeuka vishoka wa kuwatorosha watuhumiwa wa utapeli. Mtu anaetapeli amejiwekea immunity kituo kikubwa kama central ili tu wadai wakifika central kufuatia madai yao wao wanamtonya mtuhumiwa ajifiche au atoroke mji ili asiweze kukamatwa Alafu wao wanapozwa na mtuhumiwa.
Unafuatilia mamilioni ya pesa Askari yupo tayari apewe 20k avujishe mchongo ili wewe ukose haki yako.
Magufuli amka baba
Tatizo siyo kukosekana kwa Magufuli. Tatizo ni CCM. Tusipojua mzizi wa tatizo hatutakaa turekebishe haya makosa. Magufuli angekuwa suluhisho muda wote aliokuwa rais angekuwa amaemaliza na usingekuwa unalalamika sasa.
 
Katika maisha yako, kuwa rafiki na polisi.
Hasa sergeant, kuwa na rafiki polisi, mtendaji na nesi.
 
Nilijiuliza maaskari kwanini wanapenda kufuatilia kesi za utapeli na uwizi, kumbe wamegeuka vishoka kituoni aisee.
Siyo kesi za utapeli na wizi tu. Polisi siku zote hutoa kipaumbele kwa kesi ambazo wanaona zitawaingizia chochote. Ila tatizo siyo polisi kama unavyodhani. Tatizo ni CCM.
 
Kupatikana kwa haki Tanzania hususani central police dsm pale imekua ni changamoto hususani kesi za utapeli na uwizi, maaskari wamegeuka vishoka wa kuwatorosha watuhumiwa wa utapeli. Mtu anaetapeli amejiwekea immunity kituo kikubwa kama central ili tu wadai wakifika central kufuatia madai yao wao wanamtonya mtuhumiwa ajifiche au atoroke mji ili asiweze kukamatwa Alafu wao wanapozwa na mtuhumiwa.
Unafuatilia mamilioni ya pesa Askari yupo tayari apewe 20k avujishe mchongo ili wewe ukose haki yako.
Magufuli amka baba
Wivu tu.
 
Tatizo siyo kukosekana kwa Magufuli. Tatizo ni CCM. Tusipojua mzizi wa tatizo hatutakaa turekebishe haya makosa. Magufuli angekuwa suluhisho muda wote aliokuwa rais angekuwa amaemaliza na usingekuwa unalalamika sasa.
Alifanikiwa sana kudhibiti wizi aina zote wa siraha na vibaka mitaani hata wa kalam. Mnyonge mnyongeni ila mpe haki yake. Watu tuli lala madirisha wazi bila wasi wasi wa kuibiwa. Baada ya Magu kulala kila kitu kibaya kimeamka na hivyo umeme unakatika wakati wowote wezi na vibaka wanatawala mitaa.
 
Alifanikiwa sana kudhibiti wizi aina zote wa siraha na vibaka mitaani hata wa kalam. Mnyonge mnyongeni ila mpe haki yake. Watu tuli lala madirisha wazi bila wasi wasi wa kuibiwa. Baada ya Magu kulala kila kitu kibaya kimeamka na hivyo umeme unakatika wakati wowote wezi na vibaka wanatawala mitaa.
Hili naweza kusema ni illusion zaidi na hakuna ukweli. Na pia kuna jambo moja. Kama unayosema ni kweli basi ni kama hakufanya kitu kwa sababu hakuweza kutengeneza mfumo utakaofanya kazi hata akiondoka. Viongozi wote wenye vision hufikiria mbele na wanajua leo wako na kesho hawatakuwepo...
 
Back
Top Bottom