Central Police Dar es Salaam kuna maaskari vishoka

Central Police Dar es Salaam kuna maaskari vishoka

Alifanikiwa sana kudhibiti wizi aina zote wa siraha na vibaka mitaani hata wa kalam. Mnyonge mnyongeni ila mpe haki yake. Watu tuli lala madirisha wazi bila wasi wasi wa kuibiwa. Baada ya Magu kulala kila kitu kibaya kimeamka na hivyo umeme unakatika wakati wowote wezi na vibaka wanatawala mitaa.
Ni wapi huko ulikolala madirisha wazi bila wasiwasi??acha uongo wa kijinga JF
 
Kuna siku nilikuta sehemu, nikaona askari anavutana jamaa mmoja hivi(nadhani alienda kumkamata).

Kuna dogo mmoja pembeni alirusha jiwe na kumponda yule mgongo halafu dogo akakimbia. Kwakuwa hayakuwa yananihusu nikapita hivi.

Kufika mbele nikakutana na dogo, kumuuliza kama anamfahamu yule mtuhumiwa na ana msala gani, dogo akanijibu, "yaani bro hawa polisi ...(tusi) sana, mimi simjui yule jamaa(mtuhumiwa) ila nikikuta polisi sehemu anagombana na jambazi, namsaidia jambazi tumuue polisi"
[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom