Nitrofurantoin 100mg
Member
- Dec 12, 2017
- 20
- 33
Afande nani kafanya uhuni huu? Mtaje ashughulikiwe mkuuKupatikana kwa haki Tanzania hususani central police dsm pale imekua ni changamoto hususani kesi za utapeli na uwizi, maaskari wamegeuka vishoka wa kuwatorosha watuhumiwa wa utapeli. Mtu anaetapeli amejiwekea immunity kituo kikubwa kama central ili tu wadai wakifika central kufuatia madai yao wao wanamtonya mtuhumiwa ajifiche au atoroke mji ili asiweze kukamatwa Alafu wao wanapozwa na mtuhumiwa.
Unafuatilia mamilioni ya pesa Askari yupo tayari apewe 20k avujishe mchongo ili wewe ukose haki yako.
Magufuli amka baba
Hii nchi bana. Uadilifu sifuri. Tukiitwa manyani tunafura na kumaindi.Kupatikana kwa haki Tanzania hususani central police dsm pale imekua ni changamoto hususani kesi za utapeli na uwizi, maaskari wamegeuka vishoka wa kuwatorosha watuhumiwa wa utapeli. Mtu anaetapeli amejiwekea immunity kituo kikubwa kama central ili tu wadai wakifika central kufuatia madai yao wao wanamtonya mtuhumiwa ajifiche au atoroke mji ili asiweze kukamatwa Alafu wao wanapozwa na mtuhumiwa.
Unafuatilia mamilioni ya pesa Askari yupo tayari apewe 20k avujishe mchongo ili wewe ukose haki yako.
Magufuli amka baba
Kwa bahati mbaya, akiwa anakufahamu, kuondoa soo kwake anakupasia kwa polisi mwingine asiyekufahamu ili makorokocho yaanze upyaaa..!!Polisi ni wazuri sana kama wako upande wako bila kujalisha umeonea au umeonewa. Hivyo hivyo, ni wabaya sana wasipokuwa upande wako.
Uyo unaetaka ahamke ndo kubwa la majizi, acha kuwachafua policeKupatikana kwa haki Tanzania hususani central police dsm pale imekua ni changamoto hususani kesi za utapeli na uwizi, maaskari wamegeuka vishoka wa kuwatorosha watuhumiwa wa utapeli. Mtu anaetapeli amejiwekea immunity kituo kikubwa kama central ili tu wadai wakifika central kufuatia madai yao wao wanamtonya mtuhumiwa ajifiche au atoroke mji ili asiweze kukamatwa Alafu wao wanapozwa na mtuhumiwa.
Unafuatilia mamilioni ya pesa Askari yupo tayari apewe 20k avujishe mchongo ili wewe ukose haki yako.
Magufuli amka baba
Nilijiuliza maaskari kwanini wanapenda kufuatilia kesi za utapeli na uwizi, kumbe wamegeuka vishoka kituoni aisee.Sina hamu. Niliibiwa mara mbili. Dukani na Kituoni.
Tatizo siyo kukosekana kwa Magufuli. Tatizo ni CCM. Tusipojua mzizi wa tatizo hatutakaa turekebishe haya makosa. Magufuli angekuwa suluhisho muda wote aliokuwa rais angekuwa amaemaliza na usingekuwa unalalamika sasa.Kupatikana kwa haki Tanzania hususani central police dsm pale imekua ni changamoto hususani kesi za utapeli na uwizi, maaskari wamegeuka vishoka wa kuwatorosha watuhumiwa wa utapeli. Mtu anaetapeli amejiwekea immunity kituo kikubwa kama central ili tu wadai wakifika central kufuatia madai yao wao wanamtonya mtuhumiwa ajifiche au atoroke mji ili asiweze kukamatwa Alafu wao wanapozwa na mtuhumiwa.
Unafuatilia mamilioni ya pesa Askari yupo tayari apewe 20k avujishe mchongo ili wewe ukose haki yako.
Magufuli amka baba
Siyo kesi za utapeli na wizi tu. Polisi siku zote hutoa kipaumbele kwa kesi ambazo wanaona zitawaingizia chochote. Ila tatizo siyo polisi kama unavyodhani. Tatizo ni CCM.Nilijiuliza maaskari kwanini wanapenda kufuatilia kesi za utapeli na uwizi, kumbe wamegeuka vishoka kituoni aisee.
Wangapi watakuwa na urafiki nao? Huko ni ku-complicate tatizo badala ya kulitatua.Katika maisha yako, kuwa rafiki na polisi.
Hasa sergeant, kuwa na rafiki polisi, mtendaji na nesi.
Wewe pigsnia haki mkuu. Tunahitaji watu kama wewe.Wangapi watakuwa na urafiki nao? Huko ni ku-complicate tatizo badala ya kulitatua.
Kupigania haki tunahitajika wote. Ukiacha kazi ya mtu mmoja au wachache hali haitabadilika.Wewe pigsnia haki mkuu. Tunahitaji watu kama wewe.
Wivu tu.Kupatikana kwa haki Tanzania hususani central police dsm pale imekua ni changamoto hususani kesi za utapeli na uwizi, maaskari wamegeuka vishoka wa kuwatorosha watuhumiwa wa utapeli. Mtu anaetapeli amejiwekea immunity kituo kikubwa kama central ili tu wadai wakifika central kufuatia madai yao wao wanamtonya mtuhumiwa ajifiche au atoroke mji ili asiweze kukamatwa Alafu wao wanapozwa na mtuhumiwa.
Unafuatilia mamilioni ya pesa Askari yupo tayari apewe 20k avujishe mchongo ili wewe ukose haki yako.
Magufuli amka baba
Sawa.Kupigania haki tunahitajika wote. Ukiacha kazi ya mtu mmoja au wachache hali haitabadilika.
Alifanikiwa sana kudhibiti wizi aina zote wa siraha na vibaka mitaani hata wa kalam. Mnyonge mnyongeni ila mpe haki yake. Watu tuli lala madirisha wazi bila wasi wasi wa kuibiwa. Baada ya Magu kulala kila kitu kibaya kimeamka na hivyo umeme unakatika wakati wowote wezi na vibaka wanatawala mitaa.Tatizo siyo kukosekana kwa Magufuli. Tatizo ni CCM. Tusipojua mzizi wa tatizo hatutakaa turekebishe haya makosa. Magufuli angekuwa suluhisho muda wote aliokuwa rais angekuwa amaemaliza na usingekuwa unalalamika sasa.
Hili naweza kusema ni illusion zaidi na hakuna ukweli. Na pia kuna jambo moja. Kama unayosema ni kweli basi ni kama hakufanya kitu kwa sababu hakuweza kutengeneza mfumo utakaofanya kazi hata akiondoka. Viongozi wote wenye vision hufikiria mbele na wanajua leo wako na kesho hawatakuwepo...Alifanikiwa sana kudhibiti wizi aina zote wa siraha na vibaka mitaani hata wa kalam. Mnyonge mnyongeni ila mpe haki yake. Watu tuli lala madirisha wazi bila wasi wasi wa kuibiwa. Baada ya Magu kulala kila kitu kibaya kimeamka na hivyo umeme unakatika wakati wowote wezi na vibaka wanatawala mitaa.