Sasa kama mpaka nyinyi wenyewe wakataa hongo, mnakubali kuhongwa na mwisho wa siku kupokea vipigo viwili na sare 2! Shida iko wapi?Baada ya kuhonga zile mechi 13 za udhamin wa GSM kwa milion 2 kila mwezi halafu unajisifu
Kwanza lipeni club pesa ya kuweka bagde ya gsm kwenye jezi
Kaja na timu yake kucheza mechi ya kirafiki na Yanga
Ikiwa habari ya kesho ni hii basi huyu dada anatakiwa kuingia moja kwa moja peponi.
Msije kuniua, nimetumia lugha ya picha tu. Nachotaka kusema kocha ametafuniwa kila kitu!
Kakosekana mama yako hapoFun ameomba kupiga picha
Hapa tayari pua zimekutanuka umechukia kweri-kweri 😂Kakosekana mama yako hapo
Mbona sc tulikataa huo udhamini wa milion 2 kwa mwezi na isitosho hivy vipigo ni ajali kama ajali nyingne nadhan msimu uanzao tutakuwa bora zaidi kuliko huu msimu ulioishaSasa kama mpaka nyinyi wenyewe wakataa hongo, mnakubali kuhongwa na mwisho wa siku kupokea vipigo viwili na sare 2! Shida iko wapi?
Na msimu huu tutatumia njia ile ile. Mjiandae tu kwa kupokea bahasha za GSM na vipigo.
sababu kuu ni Simba kuweka nguvu kubwa kimataifa kuliko michuano ya ndani,Simba kama club washilijua hilo na msimu huu wanaenda kurudisha mataji yote,nyinyi mtabaki na mimavi tu kwenye makalio[emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]Waliotemwa ndio wanaowapelekeaga moto mpaka maji mnayaita mmaa, waliotemwa ndio wamewanyang'anya ubingwa na kumaliza unbeaten, waliotemwa ndio wamemaliza kwa kuchukua kila kitu msimu huu, kumbe kusajili wachezaji waliotemwa ni bonge la dili maana wanayo impact kubwa kwenye timu[emoji1787][emoji1787]
Mpaka walitoa unyaa kupata FAWaliotemwa ndio wanaowapelekeaga moto mpaka maji mnayaita mmaa, waliotemwa ndio wamewanyang'anya ubingwa na kumaliza unbeaten, waliotemwa ndio wamemaliza kwa kuchukua kila kitu msimu huu, kumbe kusajili wachezaji waliotemwa ni bonge la dili maana wanayo impact kubwa kwenye timu[emoji1787][emoji1787]
Usijari, kuna pepo ya mabwege.Siku hizi peponi mnakuzungumzia kipumbavu sana
Na safari hii tutawahonga mpaka wake zenu majumbani kama nyie waume zao mnahongwa kirahisi hivyo mpaka mnaachia basi mjue msimu ujao hongo itaanzia kwa Mo, babra mpaka kwenu mashabiki mtuuzie iyo timu kabisaBaada ya kuhonga zile mechi 13 za udhamin wa GSM kwa milion 2 kila mwezi halafu unajisifu
Kwanza lipeni club pesa ya kuweka bagde ya gsm kwenye jezi
Upeo wako wa kufikiri umeishia hapoNa safari hii tutawahonga mpaka wake zenu majumbani kama nyie waume zao mnahongwa kirahisi hivyo mpaka mnaachia basi mjue msimu ujao hongo itaanzia kwa Mo, babra mpaka kwenu mashabiki mtuuzie iyo timu kabisa
Wacha weeeehsababu kuu ni Simba kuweka nguvu kubwa kimataifa kuliko michuano ya ndani,Simba kama club washilijua hilo na msimu huu wanaenda kurudisha mataji yote,nyinyi mtabaki na mimavi tu kwenye makalio[emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]
..
Ikiwa habari ya kesho ni hii basi huyu dada anatakiwa kuingia moja kwa moja peponi.
Msije kuniua, nimetumia lugha ya picha tu. Nachotaka kusema kocha ametafuniwa kila kitu!
Dots connectedJana niliambiwa kuna mtu mahususi ametumwa Kampala kwa ajili ya kukamilisha hiyo kazi nikaona nitulie kwanza, nilivyokuja kuona wanatangaza rasmi kuachana na wakina Kagere na Mugalu nikaanza ku connect dots, sasa kwa hiyo picha naona kama jibu linaelekea kupatikana.