CEO Barbara anaingia moja kwa moja "peponi"

CEO Barbara anaingia moja kwa moja "peponi"

Baada ya kuhonga zile mechi 13 za udhamin wa GSM kwa milion 2 kila mwezi halafu unajisifu
Kwanza lipeni club pesa ya kuweka bagde ya gsm kwenye jezi
Sasa kama mpaka nyinyi wenyewe wakataa hongo, mnakubali kuhongwa na mwisho wa siku kupokea vipigo viwili na sare 2! Shida iko wapi?

Na msimu huu tutatumia njia ile ile. Mjiandae tu kwa kupokea bahasha za GSM na vipigo.
 
Sasa kama mpaka nyinyi wenyewe wakataa hongo, mnakubali kuhongwa na mwisho wa siku kupokea vipigo viwili na sare 2! Shida iko wapi?

Na msimu huu tutatumia njia ile ile. Mjiandae tu kwa kupokea bahasha za GSM na vipigo.
Mbona sc tulikataa huo udhamini wa milion 2 kwa mwezi na isitosho hivy vipigo ni ajali kama ajali nyingne nadhan msimu uanzao tutakuwa bora zaidi kuliko huu msimu ulioisha
Tukutane ngao ya jamii
 
Waliotemwa ndio wanaowapelekeaga moto mpaka maji mnayaita mmaa, waliotemwa ndio wamewanyang'anya ubingwa na kumaliza unbeaten, waliotemwa ndio wamemaliza kwa kuchukua kila kitu msimu huu, kumbe kusajili wachezaji waliotemwa ni bonge la dili maana wanayo impact kubwa kwenye timu[emoji1787][emoji1787]
sababu kuu ni Simba kuweka nguvu kubwa kimataifa kuliko michuano ya ndani,Simba kama club washilijua hilo na msimu huu wanaenda kurudisha mataji yote,nyinyi mtabaki na mimavi tu kwenye makalio[emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Waliotemwa ndio wanaowapelekeaga moto mpaka maji mnayaita mmaa, waliotemwa ndio wamewanyang'anya ubingwa na kumaliza unbeaten, waliotemwa ndio wamemaliza kwa kuchukua kila kitu msimu huu, kumbe kusajili wachezaji waliotemwa ni bonge la dili maana wanayo impact kubwa kwenye timu[emoji1787][emoji1787]
Mpaka walitoa unyaa kupata FA
 
Baada ya kuhonga zile mechi 13 za udhamin wa GSM kwa milion 2 kila mwezi halafu unajisifu
Kwanza lipeni club pesa ya kuweka bagde ya gsm kwenye jezi
Na safari hii tutawahonga mpaka wake zenu majumbani kama nyie waume zao mnahongwa kirahisi hivyo mpaka mnaachia basi mjue msimu ujao hongo itaanzia kwa Mo, babra mpaka kwenu mashabiki mtuuzie iyo timu kabisa
 
Na safari hii tutawahonga mpaka wake zenu majumbani kama nyie waume zao mnahongwa kirahisi hivyo mpaka mnaachia basi mjue msimu ujao hongo itaanzia kwa Mo, babra mpaka kwenu mashabiki mtuuzie iyo timu kabisa
Upeo wako wa kufikiri umeishia hapo
 

Attachments

  • IMG_20220705_083819.jpg
    IMG_20220705_083819.jpg
    31.5 KB · Views: 4
sababu kuu ni Simba kuweka nguvu kubwa kimataifa kuliko michuano ya ndani,Simba kama club washilijua hilo na msimu huu wanaenda kurudisha mataji yote,nyinyi mtabaki na mimavi tu kwenye makalio[emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]
Wacha weeeeh
 
Jana niliambiwa kuna mtu mahususi ametumwa Kampala kwa ajili ya kukamilisha hiyo kazi nikaona nitulie kwanza, nilivyokuja kuona wanatangaza rasmi kuachana na wakina Kagere na Mugalu nikaanza ku connect dots, sasa kwa hiyo picha naona kama jibu linaelekea kupatikana.
Dots connected
 
Back
Top Bottom