njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Inavyoonekana una ujuzi sana wa kuhangaikia pesa kuingia lakini pia usajili huu umeshindwa ku cover sehemu nyeti kabisa
Namba 6 na namba 9 zote hizo ni sababu ya ubahili
Mbaya zaidi mazungumzo yako kila siku yanafutayarisha kisaikolojia kumuuza sakho ambaye bila shaka mbadala wake atatoka serbia kwa wadhuuunguuu
Tuna ku appreciate sana ila its high time u deal na marketing u ceo muachie magori
Namba 6 na namba 9 zote hizo ni sababu ya ubahili
Mbaya zaidi mazungumzo yako kila siku yanafutayarisha kisaikolojia kumuuza sakho ambaye bila shaka mbadala wake atatoka serbia kwa wadhuuunguuu
Tuna ku appreciate sana ila its high time u deal na marketing u ceo muachie magori