NAJYUZ
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 1,981
- 3,475
Simba hawana Technical Director,nakumbuka mzee Kassim Dewji ali suggest hiki kitu mkamkatalia pale ambapo alipojiondoa kwenye kamati ya usajili.Hii ilipaswa kuwa kazi ya mkurugenzi wa Ufundi, kocha Scauting, Analyst nk.
Sio kumsinguzia CEO