CEO na Bodi ya Simba

Watu mnajua kushusha hukumu mno . Babra ni CEO haji ni msemaji
Lakini kumbe kuwa hakimu mwenye standards ni ngumu sana. Kwa nn personal conflicts zao wasizimalize huko huko. Umeanza vizuri ila ulivyokuwa unaendelea ukazidi kushusha pumba [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Barba ni jipu.
Na sisi wanasimba hatutakubali kuona hili jipu likitaka kuiharibu brand yetu. Wanasimba tuko nyuma ya Manara. Ameitumikia club hii kwa jasho na damu na sisi ni mashahidi
Manara ndio jipu. Atoke simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…