CEO Simba atema cheche kwa Mkude

Muda mwingine tunalalamika timu zetu na national timu haifanyi vizuri na kuwatukana makocha bure tu,ila tunasahau Tz tunawachezaji vilaza sana
 
Tunafail Tz kwasababu za akili hizi mkuu,mtu anatetea ujinga huu
 
Haya bwana kua uyaone!
 
CEO Yupo sahihi.. mkude anataka kufuata njia ya Balotel, Mkude tunakupenda lakini Simba tunaipenda zaidi kuliko Wewe, usilewe sifa
 
watu wanahujumiana huyo katumwa! Kitanuka sasa hivi kama akichukuliwa hatua!
Kweli kabisa, inawezekana kabana mianya ya kupata hela ya kahawa maana hizi timu kuna watu wanajimilikisha so wanataka kumpigisha shoti, Mkude anatumika tu kuanzisha chokochoko
 
CEO Yupo sahihi.. mkude anataka kufuata njia ya Balotel, Mkude tunakupenda lakini Simba tunaipenda zaidi kuliko Wewe, usilewe sifa
Na huo ndio msimamo wa wanaSimba tulio wengi. Walikuwepo akina Hussein Masha, mchezaji ambaye hakuwahi kukosa penati katika historia ya soka, leo hayupo Msimbazi itakuwa Mkude. SIMBA KWANZA!
 
Mkude kasikia na atajirekebisha, na anaomba radhi kwa yaliyotokea.
Kaahidi Jambo hili kuto jirudia tena.
This is .......mba
 
Nipo pamoja na C.E.O uhuni na uswahili tuwshawaachia chura.
 
Mfukuzeni aje kwenye timu ya wazazi wake..mmenielewa?dirisha dogo bado mwezi kufunguliwa
 
Hizo cheche zilizotemwa ni zipi? Mbona habri yenyewe ni kama story za kijiweni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…