CEO wa Ihefu Biko Scanda atimuliwa kazini

Ndio wanatakiwa wajifunze kua mdomo haufanyi kazi wakikaa kwenye platform zao kazi ni kukosoa hawajui changamoto zilizopo ground nadhani sasa hivi atakua na adabu
 

Acha uongo. Hajafukuzwa kajiuzulu mwenyewe.
 
Mwingine ni Jemedari I wish siku moja apewe timu tuone u pro wake
Azam huo ubingwa wake mmoja wamechukua jemedari akiwa kiongozi kwakua mpira wa bongo anaujua,toka aondoke ndio hiyo Azam unayoiona ipo kwenye kivuli cha timu za kariakoo
 
Hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kumpa timu yake huyo Mpumbavu
Jemedari unaijua CV yake? Aliitwaa timu ya Taifa akiwa mwanafunzi wa form 5 Ndanda secondary,msisikilize propaganda za watu kuhusu jemedari mpira wa bongo anaujua kwani ameucheza na anauishi wengi hawapendi kuongea kwake ukweli
 
Hujui ulizungumzalo kaa kimyaaaaaaa.....

Ihefu imeuzwa,
 
Mwingine ni Jemedari I wish siku moja apewe timu tuone u pro wake
Apewe timu mara ngapi?

Hao ndio wameipandisha Azam kuingia ligi kuu akina Jemedari

MKuu ficha ujinga wako kama hujui mambo kaa kimya

Huyu Jemedari amekaa Azam FC kabla haijapanda ligi na muda mfupi baada ya kupanda

Hao ni mashabiki wa Azam kindakindaki na amekuwa mwalimu wa Azam mpaka ikapanda ligi kuu

Jemedari amecheza mpira sio kama akina osca au Maulidi

Jemedari amecheza Kariakoo lindi wakati huo ilikuwa timu kubwa sana na ya kutisha

Huwezi ongelea historia ya azam ukamuacha Jemedari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…