Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
hata telegram inafanya hivo sema hipo advance sanaP2p ungeshakimbia, P2p inakula data balaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata telegram inafanya hivo sema hipo advance sanaP2p ungeshakimbia, P2p inakula data balaa.
P2p ina maana hakuna server mtu akitaka file basi linatoka kwenye vifaa vya watu, ukisha download file una seed kwa watu wengine ili na wao waweze kudownload, Telegram haipo hivyo na ina server zake mbalimbali duniani na operational centre ipo Dubai, so sio p2p.hata telegram inafanya hivo sema hipo advance sana
Ni mtandao wa ngono??Telegram kuna midada/ mishangazi inauza "msosi" hatari.
Ni wewe tu na hela yako kujipakulia mipaja na vipapatio.
Ni mtandao wa ngono??Dah, chimbo la wana la kuopolea cha fasta.
Ndo maana toka muda najaribu kuingia nimtafute fetty kishuzi wa group la mahaba mahabani nachemka.
Tumia vpnIla kuna watu bado hawajapata access tena..mpaka muda huu bado inasumbua.
Ngoja tuone.
nahisi ulimaliza UDOM .Tunao tumia hii kitu na uzuri na mtoto mkubwa USA ni Software Engineer .Niligunduaje JF ni sawa na clous fm kipindi cha tabia ya rugeP2p ina maana hakuna server mtu akitaka file basi linatoka kwenye vifaa vya watu, ukisha download file una seed kwa watu wengine ili na wao waweze kudownload, Telegram haipo hivyo na ina server zake mbalimbali duniani na operational centre ipo Dubai, so sio p2p.
Kuna namna umekua mzito kutumiaMbona mie sijaona tatzo lolotee? Na walaa hiyo App haisumbui hata.
Chief wewe ni mtu wa maana hapa jukwaani, ujengewe sanamuP2p ina maana hakuna server mtu akitaka file basi linatoka kwenye vifaa vya watu, ukisha download file una seed kwa watu wengine ili na wao waweze kudownload, Telegram haipo hivyo na ina server zake mbalimbali duniani na operational centre ipo Dubai, so sio p2p.
Nipe link ya groupDah, chimbo la wana la kuopolea cha fasta.
Ndo maana toka muda najaribu kuingia nimtafute fetty kishuzi wa group la mahaba mahabani nachemka.
Unamtaka fetty yupi kaka[emoji1787]?Nipe link ya group
Pambana na hali yako mzee. Kila mtu atafute dhambi zake mwenyewe😂😂Nipe link ya group
Kwa hiyo ule moto mwekundu kabisa wa chini unataka ukababuliwe pekee yako?!Pambana na hali yako mzee. Kila mtu atafute dhambi zake mwenyewe😂😂
Huyo aliyesifiwaUnamtaka fetty yupi kaka[emoji1787]?
Mimi nafanya huku natubu. Sasa toba yangu inaweza kubaliwa halafu wewe ukaniharibia toba yangu ukienda kutafuta mbwasha ikiwa mimi ndio nimekupa link😂Kea hiyo ule moto mwekundu kabisa wa chini unataka ukababuliwe pekee yako?!
Anamtaka Fetty Kishuzi, hajui kuna mafetty wengi huko😂😂😂Unamtaka fetty yupi kaka[emoji1787]?