CEO wa Simba anaenda kuiua brand ya team

CEO wa Simba anaenda kuiua brand ya team

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Kimzaha mzaha wakati inaonekana anahangaika kuipandisha brand ya Simba ukweli ni kwamba kwenye issue ngumu ni muoga sana, Simba ilipofikia kuna siku itechaza hata na Manzese united wakasema simba imepuliizia sumu na habari ikasambaa Afrika nzima ikaamini.

CEO hizi habari anakausha kimya hadi inakera yule mganga feki alikwamatwa uwanjani kavaa kaniki nyekundu kaishia wapi?

Aliyevunja nazi yuko wapi na alikamtwa simba inashindwa kuwashtaki mahakamani wakaseme nani kawatuma subiri habari ya Dodoma jiji isambae Afrika uone moto wake.

2.PNG
 
Usifikiri viongozi wa Simba hawajui kinacho tokea, zipo video zikionyesha Viongozi wa Simba wakishiriki / shuhudia Mambo yanayo onekana yakishirikina ndani ya vyumba vya kubadilishia nguo. Wahusika wanaonekana kwa macho.

Usifikiri kukaa kwao kimya ni Mambo la bahati mbaya wanajua wanatakiwa wawe waangalifu katika kujibu shutuma Kama hizo. Video zao zipo kwenye jamii na baadhi yao wanalifahamu ilo ni mambo ya fedheha Sana.
 
Usifikiri viongozi wa Simba hawajui kinacho tokea, zipo video zikionyesha Viongozi wa Simba wakishiriki / shuhudia Mambo yanayo onekana yakishirikina ndani ya vyumba vya kubadilishia nguo. Wahusika wanaonekana kwa macho. Usifikiri kukaa kwao kimya ni Mambo la bahati mbaya wanajua wanatakiwawawe waangalifu katika kujibu shutuma Kama hizo. Video zao zipo kwenye jamii na baadhi yao wanalifahamu ilo ni mambo ya fedheha Sana.
Acha ujinga hiyo video ni ya mwaka 2018 huko swaziland simba vs mbabane victim walikuwa ni simba walikuta harufu za ajabu pale zilikuwa zinamwaga dawa za kuondoa harufu chumbani kabla ya mechi na wale jamaa wakala 4.
 
Kwani na yule shabiki aliyeingia na PAKA kwenye mechi na FC Platinum aliishia wapi?

Simba na Ushirikina, ni sawa na uji na mgonjwa! Huwezi kuwatenganisha.
 
Usifikiri viongozi wa Simba hawajui kinacho tokea, zipo video zikionyesha Viongozi wa Simba wakishiriki / shuhudia Mambo yanayo onekana yakishirikina ndani ya vyumba vya kubadilishia nguo. Wahusika wanaonekana kwa macho. Usifikiri kukaa kwao kimya ni Mambo la bahati mbaya wanajua wanatakiwa wawe waangalifu katika kujibu shutuma Kama hizo. Video zao zipo kwenye jamii na baadhi yao wanalifahamu ilo ni mambo ya fedheha Sana.
Ukitaka kwenda kisayansi halafu ukawa na mindset za kiswahili utasumbuliwa sana na kila
Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe
Jibu la mjinga ni kukaa kimya
Aendelee na ujinga wake tu mwisho siyo mzuri hat kule twitter namtumiaga hadi inbox haya malalimiko yangu na ushauri ila hajibu ila wakati mwingine utashangaa wanaoitwa celebrities hata wakipost ujinga anawajibu nafikiri nikitengeneza account inaitwa amber ruuty mliwa mpalange atanijibu ila mamaaaae ungese mtupu
 
aendl;ee na ujinga wake tu mwisho siyo mzuri hat kule twitter namtumiaaga hadi inbox haya malalimio yangu na ushauri ila hajibu ila wakti mwingien utahsangaa wanaoitwa celebrities hata wakipost ujinga anawajibu nafikiri nikitengeneza account inaitwa maber ruuty mliwa mpalange atanijibu ila mamaaaae ungese mtupu

Haya mkuu tutalifanyia kazi ombi lako
 
Kwani na yule shabiki aliyeingia na PAKA kwenye mechi na FC Platinum aliishia wapi?

Simba na Ushirikina, ni sawa na uji na mgonjwa! Huwezi kuwatenganisha.
Alikamtwa na huyu wa nazi juzi kakamatwa madai ya el merreikh yalikanushwa na CAF, WASTED OPPORTUNITIES za simba kusafisha jina afrika wananyamaza kimya kumbe ishaonekana majinga tu maviongozi na bado KUNA SIKU SIMBA ATACHEZA AFRIKA ITATUPWA MAITI GETINI HADI FIFA WATAINGILIA KATI,walishindwa hata kutishia kuishtaki el merreikh kuwachafulia jina?

Hata yule mganga feki ambaye baadye zilitoka pics zake kumbe ni mwana yanga.na huyu wa nazi juzi?JANA DODOMA JIJI WHAT IS NEXT? WANAWAKE NI DHAIFU SANA KUPEWA MADARAKA TUSIDANGANYANE
 
alikamtwa na huyu wa nazi juzi kakamatwa madai ya el merreikh yalikanushwa na CAF ,WASTED OPPORTUNITIES za simba kusafisha jina afrika wananyamaza kimya kumbe ishaonekana majinga tu maviongozi na bado KUNA SIKU SIMBA ATACHEZA AFRIKA ITATUPWA MAITI GETINI HADI FIFA WATAINGILIA KATI,walishindwa hata kutishia kuishtaki el merreikh kuwachafulia jina?hata yule mganga feki ambaye baadye zilitoka pics zake kumbe ni mwana yanga.na huyu wa nazi juzi?JANA DODOMA JIJI WHAT IS NEXT? WANAWAKE NI DHAIFU SANA KUPEWA MADARAKA TUSIDANGANYANE
We jamaa una lako jambo sio kazi ya CEO kuhangaika na mambo madogo madogo kama hayo, kama women ni week leta hata wapi amefeli na sio mambo ya kijinga jinga kama hayo.
 
Cha ajabu Dodoma Jiji wala hawakutumia hicho chumba na wakafungwa goli 3-0.
Vitu vya kipuuzi visivyo na ukweli haviwezi kuharibu Brand ya Simba. Hayo ni mambo yanayozushwa na mashabiki tu, tena wale wa upande wa pili.
 
We jamaa una lako jambo sio kazi ya CEO kuhangaika na mambo madogo madogo kama hayo, kama women ni week leta hata wapi amefeli na sio mambo ya kijinga jinga kama hayo.
MPUMBAVU WEWE TENA NAKUJIBU KwA CAPITAL LETTERS WAMEKUJKA KAIZER CHIEFS NA MKWARA KWAMBA HATUNA CORONA TENA WAKA REFER MANENO YA MAnARA KWAMBA KASEMA TUNAJUA MNAFIKIA HOTEL GANI NA CHAKULA GANI MTAKULA WAKATOA ONYO KWAMBA HATUTAkI SIMBA SHENANIGANS UNADHANI KAULI NZURI ILE? NANI AJIBU SASA BRAND YA TEAM iNaCHFUKA UNATAKA AJIBU MATOLA?PUMBAVU KABISA ILA AKIENDA KUSAINI MIKATABA ISIYO NA MWENDELEZO NA ZAMALEKI NA AL AHLY NDO KAZI YAKE SIYO?SASA KAMA SIYO KAZI YAKE NI KAZI YA NANI SASA MBONA WOTE WAMEKAUSHA?
 
wajinga nikiandika hii habari wanadhani mimi utopolo BINAFSI NAJUA UWEZO WA TEAM YETU NA JANA NIME ENJOY SANA FOOTBALL BIRIANI ILA UONGO UKIONGELEWA MDA MREFU INAGEUKA UKWELI SWALI NI KWAMBA KAMA WATU WANAVALISHWA MAKANIKI MEKUNDU WANAINGIA UWANJANI WANAKAMATWA WENGINE WANAVUNJA NAZI NJE YA UWANJA WANAKAMWATA ,EL MERREIKH MADAI YAO YANAKANUSHWA NA CAF HATA KLABU YA SIMBA KUFANYA PUBLICITY YA KUJISAFISHA KWA KUWATINGISHA HAWA WATU KIMYA ETi NYIE SIYO WASWAHILI MSHAONEKANA DHAIFU KWA TAARIFA YENU DUNIA YA SAYANSI HII KUNa SIKU MAITI ZITOKOTWA HAPO GETINI MECHI YA CAF AFRIKA ITAONA MTANDAONI,CHATS ZA WHATSAPP ZITETNGENEZWA FEKI ,HAMNA HATIA SABABU TEAM NI NZURI ENDLEENI NA UZUZNGU WENU MAZUZU NYIE
2.PNG
 
MPUMBAVU WEWE TENA NAKUJIBU KwA CAPITAL LETTERS WAMEKUJKA KAIZER CHIEFS NA MKWARA KWAMBA HATUNA CORONA TENA WAKA REFER MANENO YA MARA KWAMBA KASEMA TUNAJUA MNAFIKIUA HOTEL GANI NA CHAKULA GANI MTAKULA WAKATOA ONYO KWAMBA HATUTAkI SIMBA SHENANIGANS UNADHANI KAULI NZURI ILE? NANI AJIBU SASA BRAND YA TEAM IANCHFUKA UNATAKA AJIBU MATOLA?PUMBAVU KABISA
Unajua tu kuandika ila una akili za kuku na msongo wa mawazo juu.
 
Yanga acheni ujinga jengeni timu yenu kuroga afrika kila timu inaroga ila uchawi ungekuwa dill tungebeba kombe la dunia
 
Unajua tu kuandika ila una akili za kuku na msongo wa mawazo juu.
SIMBA INACHEZA MPIRA MZURI SANA ILA INAZIDIWA MBINU ZA USWAHILI NA UTOPOLO KAMMA NI UZUNGU WAENDELEE NAO TU KUNA SIKU FIFA WATAINGILIA KATI LITAFANYIKA TUKIO BAYA AMBALO SIMBA HAWAHUSIKI NA DUNIA NZIMA ITAIFUTA SIMBA AKILINI MWAO KILA HERI NA UZUNGU WA MREMBO BARBARA
 
Kimzaha mzaha wakati inaonekana anahangaika kuipandisha brand ya Simba ukweli ni kwamba kwenye issue ngumu ni muoga sana, Simba ilipofikia kuna siku itechaza hata na Manzese united wakasema simba imepuliizia sumu na habari ikasambaa Afrika nzima ikaamini.

CEO hizi habari anakausha kimya hadi inakera yule mganga feki alikwamatwa uwanjani kavaa kaniki nyekundu kaishia wapi?

Aliyevunja nazi yuko wapi na alikamtwa simba inashindwa kuwashtaki mahakamani wakaseme nani kawatuma subiri habari ya Dodoma jiji isambae Afrika uone moto wake.

View attachment 1799378
Shida ipo ktk uwezo wako wa kufkr
 
Back
Top Bottom