njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Kimzaha mzaha wakati inaonekana anahangaika kuipandisha brand ya Simba ukweli ni kwamba kwenye issue ngumu ni muoga sana, Simba ilipofikia kuna siku itechaza hata na Manzese united wakasema simba imepuliizia sumu na habari ikasambaa Afrika nzima ikaamini.
CEO hizi habari anakausha kimya hadi inakera yule mganga feki alikwamatwa uwanjani kavaa kaniki nyekundu kaishia wapi?
Aliyevunja nazi yuko wapi na alikamtwa simba inashindwa kuwashtaki mahakamani wakaseme nani kawatuma subiri habari ya Dodoma jiji isambae Afrika uone moto wake.
CEO hizi habari anakausha kimya hadi inakera yule mganga feki alikwamatwa uwanjani kavaa kaniki nyekundu kaishia wapi?
Aliyevunja nazi yuko wapi na alikamtwa simba inashindwa kuwashtaki mahakamani wakaseme nani kawatuma subiri habari ya Dodoma jiji isambae Afrika uone moto wake.