CEO wa Simba anaenda kuiua brand ya team

Yanga ndo maana mwaka wa nne huu haina kikombe VPL/FA. Kimegeuka club cha udaku na kusuta. Mnaimarisha timu lenu mida gani
 
 
Mkuu punguza maneno basi, soka la Africa linajulikana vizuri Tu mbwembwe zake, Simba kaenda Kongo kuna wachezaji waliwekwa quarantine kuwa Wana Corona ila wametoka Tz wamepima na hakuna aliekuwa na Corona

Simba kaenda South Africa kuna clip zilienea viongozi wa kaizer chief wakimwaga dawa kwenye magoli na uwanjani ata walipokuja bongo wakat wanaingia ndani ya uwanja walikuwa wanamwaga dawa kwahiyo hili ndio soka letu kivyetu vyetu, usitishike na hayo maelezo Google ata usachi fitina wanazolalamikiwa Al Ahly huwezi kukosa Google

Na usitegemee ata siku moja atatoka kiongozi wa team tena kama C.E.O aje kuongelea mambo ya ajabu kama hayo eti uchawi na fitina, kuongelea hayo ni kuyapa Kiki ili yazidi kuongelewa, haya mambo wanatuachiaga sie mashabiki ndio tusutane weeee Ila wao wananyuti Tu coz hayana maana

Mwakani kutakuwa na team 4 mashindano ya kimataifa utaona kama haya yanayotokea Kwa Simba hayatatokea na Kwa Yanga pia, Kwa ligi ya ndani yanatokea Kwa Sababu Simba kawazidi wapinzani wake Ila Kwa michuano ya kimataifa yanatokea kwakuwa ndio nature yetu Waafrica.
 
Uongozi wa Mnyama una mambo mengi ya maana ya kufanya
mambo ya kipumbavu watajijibu wapumbafuu wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…