frankkilulya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2022
- 590
- 1,494
Shida ni kwamba seriakl hairuhusiw kuingilia mpila that y GSM wanawatawala Tiefu efu ila acha bidada awaonyeshe mpira unavyopigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atatawala TFF ila siyo simbaShida ni kwamba seriakl hairuhusiw kuingilia mpila that y GSM wanawatawala Tiefu efu ila acha bidada awaonyeshe mpira unavyopigwa
Rubish ikowapi.. ama wewe ndio rubish.. jikite kwenye maada acha uvivu.. shughulisha hilo fuvu
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Unaangaika na punga uyo achana nae, wanashindwa uwanjani wanakuja kubwata utumbo apa, kama babra kafanya kosa sheria ichukue mkondo wake na sio kutafuta huruma ya mtu apaMzee wewe hauna akili ni debw tupu kabisa aisee ata sijui unawezaje kuishi kwa jinsi akili zako zilivyokuwa ndogo yaani wewe ni zaidi ya empty set
shame on???Wewe mtoa mada ni bwege tu kama mabwege wengine.. Unafiki tu umekujaa kama Mama Ester wa Shomari Kapombe..
Shame on
Cote de vour na kiswahili wapi na wapi? tumieni japo akili.
na hapo ndipo umetumia akili siyo? hakuna team ambayo imefika bongo michezo ya CAf bila utopolo kupeleka maneno ya fitina, usijifanye hujui hilo, ili ionekane kila team inailalamikia simba,jiulize mbona Sope alifuta haraka huo ujinga wake? kashatakiwa tangu tarehe 17 ilivyotokea interview ya south ndipo waka activate plan yao ya kumfungia huyo dada kwa miaka 10Cote de vour na kiswahili wapi na wapi? tumieni japo akili.
haka kadada kanaupiga mwingi, wasifikiri Babra nikama kocha wa Mbeya kwanza!CEO wa Simba sports club Barbara Gonzalez kuna tetesi akafungiwa miaka mitano 5 au maisha kujihusisha na michezo haswa football
Hii imetokea baada ya yanga kupeleka malalamiko TFF kuhusu tuhuma alizozitoa kwa team hiyo inapokea wageni ambao Simba ilikua ikicheza nao champion league na shirikisho
Imeelezwa kua TFF wakiongozwa na karia bado wana hasira na huyo CEO kwakua aliwabania deal la GSM la billion 2 ambapo wanao huyo mwana dada ni kikwazo kikubwa kwao kwenye mipango yao ya kupiga pesa
Lakini tukifuatilia hili sakata ni kweli viongozi wa yanga Manara na Hersi Said wameonekana wazi wazi wakijihusisha na hao wageni kwa kuwapa mbinu za ushindi na kuwapa morali ili simba afungwe hapa kwa mkapa
Kuna ushahidi wa injinia hersi akiongea kwa video calls na baadhi ya wachezaji wa berkane na kuwapa morali ya kuja kwa mkapa na kuwafunga simba na walimpa ahadi ya kutimiza mambo waliyo yajadili..
Pia upo ushahidi Manara akiwashauri team ya nje inayokuja kwa mkapa wasivute ata pumzi ya Tanzania na kuwapa mbinu zote wanazotumia simba kwa mkapa ikiwemo na kuweka sumu kwenye vyumba vya kubadilishia nguo .. pia zipo comments kwenye page ya orlando aliyoandika hivi ndugu zao ambao ni yanga wapo kwaajili ya kuwashangilia wakija kwa mkapa hivyo mashabiki watawakuta huku wasije nao..
Nadhani kabla ya Barbara TFF ingeanza na hao viongozi wa yanga kwa kuwahoji ili waeleze vizuri kwanini wanafanya hivyo..
Inaonesha zile 2Billion karia na genge lake wamekula na wahujui namna ya kuzirudisha hivyo wamegeuka kua machawa wa GSM na kufuata matakwa yao yote.. na vikao vyote vinafanyika nyumbani kwa GSM
Kwa hili TFF chini ya karia mjitathimini na viongozi wa serikali wizara inayo husika na michezo itupie jicho huku kwenye football kuna uhuni mwingi sanaa
Ukurasa Instagram wa simbadaily ulifichua hili week mbili kabla na TFF wakakanusha na leo wamekuja na jambo lile lile walilo kanusha ..View attachment 2231624
Wakutumia akili wanajulikana baada ya hii idadi aliosema msukuleCote de vour na kiswahili wapi na wapi? tumieni japo akili.
Hana hata pasipoti tumuitie migration kumbe ndo mana utopolo wanabebwa bebwa wachukue ubingwaYule msomali anataka kutuharibia mpira wetu kwao hawachezi mpira wanashindna Quran tu mtu mwenyewe anaishi kiujanja ujanja.