CEO wa Simba kufungiwa miaka mitano 5 au maisha kujihusisha na mpira

Shida ni kwamba seriakl hairuhusiw kuingilia mpila that y GSM wanawatawala Tiefu efu ila acha bidada awaonyeshe mpira unavyopigwa
 
Huyu mkurugenzi anawanyosha saana TFF .
 
Nini hiki kimeandikwa?siku hizi jf Kuna mandezi wengi sana
 
Wewe ndio chawa namba moja, unaongea kwa kuonyesha kabisa unaegemea upande gani, uyo babra apeleke ushahidi unaoeleweka sio huo ujinga wako ulioandika hapo, unampangiaje mtu mambo yake binafsi?

Yani mnataka kuwapangia watu washabikie timu gani? Unamchagulia mtu rafiki? Hersi angeachaje kuongea na vijana wake kina kisinda na fistoni eti kwa kuwa simba awataki? Mawazo ya kipumbavu kabisa
 
Mzee wewe hauna akili ni debw tupu kabisa aisee ata sijui unawezaje kuishi kwa jinsi akili zako zilivyokuwa ndogo yaani wewe ni zaidi ya empty set
Unaangaika na punga uyo achana nae, wanashindwa uwanjani wanakuja kubwata utumbo apa, kama babra kafanya kosa sheria ichukue mkondo wake na sio kutafuta huruma ya mtu apa
 
Chukua hii'Simba ni taasisi kubwa kuzidi tff'.

chukua nyingine hii'Simba ina uwezo wa kuivimbia tff mpaka tff wakaomba poo'

nakupa na nyongeza hii hapa[emoji117] 'tff wana ihitaji zaidi Simba kuliko Simba wanavyooihitaji tff'
 
Cote de vour na kiswahili wapi na wapi? tumieni japo akili.
na hapo ndipo umetumia akili siyo? hakuna team ambayo imefika bongo michezo ya CAf bila utopolo kupeleka maneno ya fitina, usijifanye hujui hilo, ili ionekane kila team inailalamikia simba,jiulize mbona Sope alifuta haraka huo ujinga wake? kashatakiwa tangu tarehe 17 ilivyotokea interview ya south ndipo waka activate plan yao ya kumfungia huyo dada kwa miaka 10
 
Yule msomali anataka kutuharibia mpira wetu kwao hawachezi mpira wanashindna Quran tu mtu mwenyewe anaishi kiujanja ujanja.
 
haka kadada kanaupiga mwingi, wasifikiri Babra nikama kocha wa Mbeya kwanza!
...Hii muvi ngoja niirecord itakapoishia!
 
Yule msomali anataka kutuharibia mpira wetu kwao hawachezi mpira wanashindna Quran tu mtu mwenyewe anaishi kiujanja ujanja.
Hana hata pasipoti tumuitie migration kumbe ndo mana utopolo wanabebwa bebwa wachukue ubingwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…