CEO wa Simba na Morrison nani anasema ukweli?

CEO wa Simba na Morrison nani anasema ukweli?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
CEO anasema Morrison ameomba mwenyewe aende nyumbani kwao akamalize matatizo ya nyumbani kwao lakini Morrison anasema hakuwa na matatizo ila alilazimishwa aondoke na CEO.

Swali ni kama Morriso anasema ukweli ni kwanini CEO, Barbara audanganye umma kuhusu huyu mchezaji, je, kuna nini anakificha na kwanini, na je, kudanganya sio kosa la kisheria?

Kama CEO wa Simba amesema ukweli kuhusu Morrison na kuondoka kwake, kwanini Morrison adanganye umma? Na je kudanganya sio kosa kisheria? Hasitahili kupewa adhabu ya kusingizia?





Nani ni mkweli kati yao?
 
Aka la Mama kana matatizo Sana. Wivu na roho mbaya umekajaa simple.
 
CEO anasema Morrison ameomba mwenyewe aende nyumbani kwao akamalize matatizo ya nyumbani kwao lakini Morrison anasema hakuwa na matatizo ila alilazimishwa aondoke na CEO.

Swali ni kama Morriso anasema ukweli ni kwanini CEO, Barbara audanganye umma kuhusu huyu mchezaji, je, kuna nini anakificha na kwanini, na je, kudanganya sio kosa la kisheria?

Kama CEO wa Simba amesema ukweli kuhusu Morrison na kuondoka kwake, kwanini Morrison adanganye umma? Na je kudanganya sio kosa kisheria? Hasitahili kupewa adhabu ya kusingizia?





Nani ni mkweli kati yao?

Tunachojua tu ni kwamba Mchezaji Bernard Morrison ameshamalizana na Simba SC na atabaki mengine ni Pumba zaidi.
 
CEO anasema Morrison ameomba mwenyewe aende nyumbani kwao akamalize matatizo ya nyumbani kwao lakini Morrison anasema hakuwa na matatizo ila alilazimishwa aondoke na CEO.

Swali ni kama Morriso anasema ukweli ni kwanini CEO, Barbara audanganye umma kuhusu huyu mchezaji, je, kuna nini anakificha na kwanini, na je, kudanganya sio kosa la kisheria?

Kama CEO wa Simba amesema ukweli kuhusu Morrison na kuondoka kwake, kwanini Morrison adanganye umma? Na je kudanganya sio kosa kisheria? Hasitahili kupewa adhabu ya kusingizia?





Nani ni mkweli kati yao?
Huyu mwanamama kila mtu anamsema yeye
 
Tunachojua tu ni kwamba Mchezaji Bernard Morrison ameshamalizana na Simba SC na atabaki mengine ni Pumba zaidi.
Umemuelewa vizuri morrison Alichosema lakini, kasema walitaka kumsainisha mkataba kwa pesa kiduchu akagoma wakamwambia aondoke kwao ajifanye ana matatizo ya kifamilia, kwaiyo alidakwa juu kwa juu akapewa mkataba biashara ikaishia hapo, mambo ya kumalizana ni hadithi za kwenye kahawa
 
Kwa yale mambo ya kukimbiza watu na bisibisi, kama alilazimishwa akapumzike basi viongozi wa Simba walikua sahihi.
 
Super Ben ataendelea kubaki Simba msimu ujao, mzozo ndani ya simba ushamalizwa, Mafia wa Timu wamerudi rasmi na wamepindua.kila kitu kiko sawa, mipango Nusu fainali CCL, NBC league, Asfc. Imeisha.!
 
Back
Top Bottom