CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez jifunze Maneno ya Kuongea ukihojiwa na acha Dharau tafadhali

CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez jifunze Maneno ya Kuongea ukihojiwa na acha Dharau tafadhali

Na mwanzilishi wa hili Neno Popoma hapa JamiiForums ni nani Ndugu?
Mwanzilishi wa neno popoma hapa jukwaani ni member mwenzetu Gentamycine,ambaye kwa sasa anatumikia kifungo,sijui kawagongea Moderators mademu wao, kila akimaliza kifungo kimoja wana top-up tena na tena. Tumuombee anachangamsha sana jukwaa.
 
Mwanzilishi wa neno popoma hapa jukwaani ni member mwenzetu Gentamycine,ambaye kwa sasa anatumikia kifungo,sijui kawagongea Moderators mademu wao, kila akimaliza kifungo kimoja wana top-up tena na tena. Tumuombee anachangamsha sana jukwaa.
Ndio huyu huyu mwenye huu Uzi..yaani hata akibadili majina wadau wanamjua tu
 
Niliposemaga huyu ma..la..yar ndio kaja kuleta uchawi simba watu walinishukia kama mwewe. Sasa inabidi wale matapishi yao tu haina jinsi.
 
Back
Top Bottom