CEO wa Simba Sports Club Barbara Gonzalenz ni kiongozi wa aina gani

CEO wa Simba Sports Club Barbara Gonzalenz ni kiongozi wa aina gani

Tatizo la GSM wanalazimisha kuwatafutia utopolo ubingwa.
 
Yule ni mtendaji, nyuma yake kuna Bodi. Ila inashangaza kuwa na viongozi wa hovyo kama TFF. Hawa ni redundant kabisa
 
Jamaa gabachori kampa Team hawara sasa hawara anaendesha team anavyotaka
 
Yeah, GSM angepigana apate udhamini ukuu ambao kisheria ndio unaotajwa katika maandishi. Mdhamini mwenza hajatajwa kabisa katika maeneo hayo anayoyataka
Kwahiyo GSM Ni Ujanjaujanja Kwenye Huo Udhamini Wake
Ila Naona Kama Hii League Imejaa Shida
Huyo GSM Wangemtupa Nje Asishiriki Michezo
 
Yule ni mtendaji, nyuma yake kuna Bodi. Ila inashangaza kuwa na viongozi wa hovyo kama TFF. Hawa ni redundant kabisa
Mkuu mpira wetu unahitaji hela ili kuendelea kukua.

TFF kuamua kwenda kwa GSM kuomba udhamini sio kitu kibaya.

Ila ikumbukwe GSM Ni group of companies Kama ilivyo kwa Mo na Azam.GSM ina cluster zifuatazo.

Manufacturing

Logistics

Retail

Trading.

Ila ikumbukwe GSM na Yanga wameingia contract kupitia GSM foam,hii ni cluster ya Manufacturing.

Hivyo basi GSM anaweza akatumia cluster ambayo ni tofauti na ile ambayo inatumika kutengeneza jersey (ambayo yeye na Yanga ndo partners) ili kuhalalisha udhamini wake.
 
Wakuu huyu dada C.E.O wa Simba sports club ni fullbright ni mwanamke wa shoka mwenye kujiamini na uelewa mkubwa sana wa mambo.

Ukifatilia huu mzozo uliopo sasa wa Simba kuvaa nembo za GSM utaona jinsi anavyosimama kwenye hoja na vipengeke vya kisheria kwa utulivu mkubwa bila mihemko, lakini pia yeye Barbara pekee anaonekana kumudu vema kuwajibu lundo la viongozi wa GSM, Yanga na TFF kwenye mgogoro huu pasi na kiongozi mwingine wa Simba kutia neno.

Hakika wanawake wanaweza kusimama kidete hata kama wanashindana na lundo la wanaume.

Hongera nyingi kwake madam C.E.O Barbara Gonzalenz.
Smartness!!
 
Yule ni mtendaji, nyuma yake kuna Bodi. Ila inashangaza kuwa na viongozi wa hovyo kama TFF. Hawa ni redundant kabisa
Akina Karia si ni chama la wanamikia au,unadhani mbele ya fedha utakumbuka sheria au unadhi?
 
Wakuu huyu dada C.E.O wa Simba sports club ni fullbright ni mwanamke wa shoka mwenye kujiamini na uelewa mkubwa sana wa mambo.

Ukifatilia huu mzozo uliopo sasa wa Simba kuvaa nembo za GSM utaona jinsi anavyosimama kwenye hoja na vipengeke vya kisheria kwa utulivu mkubwa bila mihemko, lakini pia yeye Barbara pekee anaonekana kumudu vema kuwajibu lundo la viongozi wa GSM, Yanga na TFF kwenye mgogoro huu pasi na kiongozi mwingine wa Simba kutia neno.

Hakika wanawake wanaweza kusimama kidete hata kama wanashindana na lundo la wanaume.

Hongera nyingi kwake madam C.E.O Barbara Gonzalenz.
Kama siyo Mtanzania inawezekana yupo hapo Simba kwa lengo maalum dhidi ya ya Tanzania...naishia hapo ...watch out...Simba na Yanga Zina mashabiki in millions ndani ya nchi...
 
Ni wa ajabu sana.

Timu ikifanya vibaya haposti chochote kwenye mitandao ya kijamii ya Twitter na Instagram ila timu ilishinda utashangaa anaanza kiposti kusifia timu, ni wa ajabu sana.
 
Back
Top Bottom