Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahaaa wapi washalegea.Watamuweza sasa?
Kwahiyo GSM Ni Ujanjaujanja Kwenye Huo Udhamini WakeYeah, GSM angepigana apate udhamini ukuu ambao kisheria ndio unaotajwa katika maandishi. Mdhamini mwenza hajatajwa kabisa katika maeneo hayo anayoyataka
Kivipi mkuu?Tatizo la GSM wanalazimisha kuwatafutia utopolo ubingwa.
Mkuu mpira wetu unahitaji hela ili kuendelea kukua.Yule ni mtendaji, nyuma yake kuna Bodi. Ila inashangaza kuwa na viongozi wa hovyo kama TFF. Hawa ni redundant kabisa
Mkuu kwani vp mbona kama unakisasi na jamaa [emoji1787][emoji1787]Umeandika kama mbuzi unakula huku unatoa kinyesi. Mshenzi mkubwa wewe.
Kwakweli huyu dada akija gombea jimboni kwangu ntahakikisha anashinda so brightNa kama ni mtanzania naomba akaimu urais na awe mgombea mwenza wa Lisu 2025
Smartness!!Wakuu huyu dada C.E.O wa Simba sports club ni fullbright ni mwanamke wa shoka mwenye kujiamini na uelewa mkubwa sana wa mambo.
Ukifatilia huu mzozo uliopo sasa wa Simba kuvaa nembo za GSM utaona jinsi anavyosimama kwenye hoja na vipengeke vya kisheria kwa utulivu mkubwa bila mihemko, lakini pia yeye Barbara pekee anaonekana kumudu vema kuwajibu lundo la viongozi wa GSM, Yanga na TFF kwenye mgogoro huu pasi na kiongozi mwingine wa Simba kutia neno.
Hakika wanawake wanaweza kusimama kidete hata kama wanashindana na lundo la wanaume.
Hongera nyingi kwake madam C.E.O Barbara Gonzalenz.
Ushoga umetoka makalioni umehamia kichwanie!!Umeandika kama mbuzi unakula huku unatoa kinyesi. Mshenzi mkubwa wewe.
Naona munaleta mzaha,kwenye mambo ya kikakati,kwalipi labda alilonalo.Na kama ni mtanzania naomba akaimu urais na awe mgombea mwenza wa Lisu 2025
Akina Karia si ni chama la wanamikia au,unadhani mbele ya fedha utakumbuka sheria au unadhi?Yule ni mtendaji, nyuma yake kuna Bodi. Ila inashangaza kuwa na viongozi wa hovyo kama TFF. Hawa ni redundant kabisa
Kama siyo Mtanzania inawezekana yupo hapo Simba kwa lengo maalum dhidi ya ya Tanzania...naishia hapo ...watch out...Simba na Yanga Zina mashabiki in millions ndani ya nchi...Wakuu huyu dada C.E.O wa Simba sports club ni fullbright ni mwanamke wa shoka mwenye kujiamini na uelewa mkubwa sana wa mambo.
Ukifatilia huu mzozo uliopo sasa wa Simba kuvaa nembo za GSM utaona jinsi anavyosimama kwenye hoja na vipengeke vya kisheria kwa utulivu mkubwa bila mihemko, lakini pia yeye Barbara pekee anaonekana kumudu vema kuwajibu lundo la viongozi wa GSM, Yanga na TFF kwenye mgogoro huu pasi na kiongozi mwingine wa Simba kutia neno.
Hakika wanawake wanaweza kusimama kidete hata kama wanashindana na lundo la wanaume.
Hongera nyingi kwake madam C.E.O Barbara Gonzalenz.
Hong2ra kwa kuchungulia page zake....Ni wa ajabu sana.
Timu ikifanya vibaya haposti chochote kwenye mitandao ya kijamii ya Twitter na Instagram ila timu ilishinda utashangaa anaanza kiposti kusifia timu, ni wa ajabu sana.