Cerebral Palsy/ Autism

Cerebral Palsy/ Autism

majege

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2009
Posts
237
Reaction score
308
Nina mtoto wa kiume ana miaka miwili na nusu sasa, anatatizo la cerebral palsy au Autism, (kwa muonekano wa haraka haraka haonyeshi kama ana tatizo hilo) Mpaka sasa hajaweza kusimama au kutembea peke yake mpaka kwa msaada wa kushikiliwa mkono, pia hajaweza kuongea, msaada pekee wa kitabibu tunaopata ni kufanya mazoezi ya viungo (Physiotherapy) kwa muda wa miezi kumi sasa. Lakini maendeleo bado ni kidogo sana. Kuna mtu yeyote anaepitia experience kama hii na je kunaweza kuwa na msaada wa kitabibu zaidi ya mazoezi tunayofanya?
 
kwanza c.p sio autism,ila nadhani umeongelea diagnosis mbili hapa.kama ana c.p ,physiotherapy ndio tiba,hakuna kingine.mpeleke pale ccbrt
 
Back
Top Bottom