MR. KIDNEY
Member
- Sep 17, 2013
- 17
- 1
Jamani wana jf naomba kuuliza hivi mtu aliyemaliza kozi hyo ya clinical assistant anaweza kusoma degree ya medical administration au management? Maana nasikia kwamba sifa ni "any medical related course".
Naomba kusaidiwa.
Naomba kusaidiwa.