Certificate verification number RITA

Certificate verification number RITA

Nicorandil

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2022
Posts
258
Reaction score
749
Habari za mchana wakuu? Poleni na majukumu ya hapa na pale. Naombeni mwongozo jinsi ya kupata certificate verification namba baada ya cheti kuhakikiwa RITA. Nimehakiki tayari na nimeendelea na maombi ya mkopo ila sehemu ya demographics inataka verification number ambayo kwenye vyeti nilivyohakiki mpaka sa hivi hakuna chenye hio namba. Kibaya zaidi RITA huduma kwa mteja simu hawapokei ( tangu application zianze, kabla walikua wanapokea). Naombeni mwongozo tafadhali.
Screenshot_20230720-151806.png
markup_8140.png
Screenshot_20230720-151806.png
 
mmh hapo mbona hamna sehemu inayotaka demographics? fafanua zaidi
 
mmh hapo mbona hamna sehemu inayotaka demographics? fafanua zaidi
Mkuu sehemu ya demographics ipo kwenye kuapply mkopo Heslb ndo wanataka ujaze hio namba cheti kikishahakikiwa RITA ndo nikarudi kuangalia sijaona.
 
Mkuu sehemu ya demographics ipo kwenye kuapply mkopo Heslb ndo wanataka ujaze hio namba cheti kikishahakikiwa RITA ndo nikarudi kuangalia sijaona.
Achana na cheti nenda kwenye account yako ya RITA uliyofanya registration log in tafuta sehemu iliyoandikwa details click hiyo sehem angalia sehemu iliyoandikwa activation code chukua hizo namba jaza kwenye mfumo jina lako litakuja automatically
 
Achana na cheti nenda kwenye account yako ya RITA uliyofanya registration log in tafuta sehemu iliyoandikwa details click hiyo sehem angalia sehemu iliyoandikwa activation code chukua hizo namba jaza kwenye mfumo jina lako litakuja automatically
Asante chief,,naona imekubali. asante asee
 
Achana na cheti nenda kwenye account yako ya RITA uliyofanya registration log in tafuta sehemu iliyoandikwa details click hiyo sehem angalia sehemu iliyoandikwa activation code chukua hizo namba jaza kwenye mfumo jina lako litakuja automatically
Samahani, imeandikwa activation code au application code? Maana natafuta sehemu iliyoandikwa activation code ila siioni
 
Wote kumbe hamjui....wakishahakiki cheti wanaweka pdf document ambayo unapaswa uipakue halafu verification code utaiona juu kulia mwa hiyo PDF.
 
Wakuu mimi naomba kuuliza je
Cheti cha shule cha dogo na cha kuzaliwa vinatofautiana spelling moja tu yaani R na L .

Je anaweza kuhakiki birth certificate au ndiyo mpaka abadili hiyo spelling ili kiendane na cha shule?
Voice of Tanzania
 
Back
Top Bottom