Cesar Lobi Manzoki amaliza utata wake juu ya kujiunga na Young African(Yanga)

Cesar Lobi Manzoki amaliza utata wake juu ya kujiunga na Young African(Yanga)

Ridh1

Member
Joined
Nov 20, 2017
Posts
32
Reaction score
67
Mshambuliaji wa timu ya Vipers(Uganda) Cesar Manzoki muda mchache uliopita ameweza kushare picha kwenye ukurasa wake wa Instagram wenye kumaanisha bado yupo kwenye mahaba mazito na timu ya Simba.
Kwasasa mashabiki wa Simba watakuwa na amani baada ya post hii kutoka kwa Manzoki.
Kila la kheri Manzoki
Karibu sana kwa wana Lunyasi.
Screenshot_20220818-233254.jpg
 
Yanga wana propaganda za kizamani sana

Wamegundua kwenye jambo lao la kutangaza viongozi wapya kesho bila kutumia brand ya Simba kutengeneza propaganda basi hakuna atayechukua muda wake kufuatia press yao.
Kwani walioanzisha tetesi hizi ni Yanga?
Mbona niliona mtu wa kwanza ni Micky Jr wa Ghana, Yanga wanahusikaje hapa aisee[emoji38]
 
Kwani walioanzisha tetesi hizi ni Yanga?
Mbona niliona mtu wa kwanza ni Micky Jr wa Ghana, Yanga wanahusikaje hapa aisee[emoji38]
Yanga ndio walioanzisha, huyo wa ghana kuna uwezekano aliambiwa aseme hivyo tu

Unaweza kujiukiza kama mtu wa ghana kasema habari hiyo iliwezaje kusambaa na kuzua gumzo tanzania bila Ywnga kusambaza hayo maudhui ili yaonekane na wengi?

Hata yule wa Uganda naye aliyekuja kuandika na dau pamoja na mshahara naye katumika ili ku catch attention
 
Yanga wana propaganda za kizamani sana

Wamegundua kwenye jambo lao la kutangaza viongozi wapya kesho bila kutumia brand ya Simba kutengeneza propaganda basi hakuna atayechukua muda wake kufuatia press yao.
KIONGOZI GANI MPYA YANGA KATAMBULISHWA LEO?
 
Yanga wana propaganda za kizamani sana

Wamegundua kwenye jambo lao la kutangaza viongozi wapya kesho bila kutumia brand ya Simba kutengeneza propaganda basi hakuna atayechukua muda wake kufuatia press yao.
ajabu mpaka viongozi wanaingia mkumbo. hawa watu hamnazo vichwani
 
Msiwahusishe Yanga na upuuzi wenu,nyie ndo mlioanzisha hizo propaganda,na hata la Mlete Mzunguu mlianzisha wenyewe afu mnawalaumu Yanga eti wabaguzi..mtakomaa lini akili nyie wapumbavu?[emoji23][emoji23]
 
Simba wanatengeneza brand utopolo wanatengeneza majungu tu.
 
Mshambuliaji wa timu ya Vipers(Uganda) Cesar Manzoki muda mchache uliopita ameweza kushare picha kwenye ukurasa wake wa Instagram wenye kumaanisha bado yupo kwenye mahaba mazito na timu ya Simba.
Kwasasa mashabiki wa Simba watakuwa na amani baada ya post hii kutoka kwa Manzoki.
Kila la kheri Manzoki
Karibu sana kwa wana Lunyasi.
View attachment 2327835
Pesa za pre season zote kamaliza aziz ki na wanadaiwa kule Turkey kwenye hotel million 400 za kumpa manzoki watazitoa wapi.
 
Simba hatutumii akili yani yanga wakasema wana jambo lao sisi tukapaniki tukajua wanamuiba yule manywele
 
Yanga wana propaganda za kizamani sana

Wamegundua kwenye jambo lao la kutangaza viongozi wapya kesho bila kutumia brand ya Simba kutengeneza propaganda basi hakuna atayechukua muda wake kufuatia press yao.
Kiongozi gani wa Yanga aliesema kuhusu usajili wa manzoki au hao wachambuzi wenu uchwara ndio waliwaingiza chaka,toka lini Yanga ikatangaza usajili serena hotel?
 
Back
Top Bottom