Cha asubuhi kitamu

Cha asubuhi kitamu

Mi sio mdau wa Cha asubuhi,nataka tuoge kabisa na vinywa viwe swaaaafi,ilkiwezekana tunywe na chai,,🥲🥲🥲🥲
Kwa nini usiswaki baada ya kula mlo wa jioni? Ukiamka kinywa kipo safi na wala huna haja ya kukiswafi mpaka umalize mambo yako?

Ukishaanza mambo ya kujiswafi, sijui chai, aaagh inakosa mzuka.
 
Calling me Mr. BOT...Why?
anyway.... I always enjoy doing it at noon and late night.
you can guess how this moment feels like!
Mr. Bot coz you're interested in market shares, interest rate and govt bonds while Joannah is talking about morning glory. 🤣🤣🤣

Sasa mchana na joto lake mkuu, labda mazingira ya ac yawepo, ila kwa joto la daslam ni kero tu.
 
Kwa nini usiswaki baada ya kula mlo wa jioni? Ukiamka kinywa kipo safi na wala huna haja ya kukiswafi mpaka umalize mambo yako?

Ukishaanza mambo ya kujiswafi, sijui chai, aaagh inakosa mzuka.
unatupiga, hata uswaki usiku asubuhi mwendo ni ule ule tena kuna kuwa na uchachu fulani hivi wa kukera
kiufupi chupa inaamka na chai
 
Mr. Bot coz you're interested in market shares, interest rate and govt bonds while Joannah is talking about morning glory. 🤣🤣🤣

Sasa mchana na joto lake mkuu, labda mazingira ya ac yawepo, ila kwa joto la daslam ni kero tu.
Napenda ile kupiga show mpaka sweat, you can feel it,
BTW Joannah we muache tu ntamuitia malijendi
 
Back
Top Bottom