Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jichanganyeni humohumoNa sisi wa mahusiano na mkono tunacoment wapi?
Hilo ni domo lako sasa.unatupiga, hata uswaki usiku asubuhi mwendo ni ule ule tena kuna kuwa na uchachu fulani hivi wa kukera
kiufupi chupa inaamka na chai
Unataka kusema,wewe ni binadamu pekee 18+ usiyepata "cha asubuhi" toka kwa la aziz?Sio mimi Kuna dogo kashika simu yangu hapa sijui kaandika nini 😶
Mimi bado sijui kabisa haya mambo 😊😊Unataka kusema,wewe ni binadamu pekee 18+ usiyepata "cha asubuhi" toka kwa la aziz?
Kumbe na wewe unafanyaga 🤕Yaani Mwili unakuwa mwepesi, stress zinaisha😂😋
tuhitimidhe kwa kusema wanaishi ma wenza wao wanafaidi sanaYaani Mwili unakuwa mwepesi, stress zinaisha😂😋
Mimi sijaongea kitu 🤣🤣🤣umeanza kukana mapema sana udugu 😅😅
tutulie mwaya jitunze km mimi subiri tuoleweMimi sijaongea kitu 🤣🤣🤣
Kabisa.tuhitimidhe kwa kusema wanaishi ma wenza wao wanafaidi sana
Kabisa natunza usichana wangu wasije kutuharibututulie mwaya jitunze km mimi subiri tuolewe