Cha kufanya baada ya kuachana na mpenzi wako

Cha kufanya baada ya kuachana na mpenzi wako

HUKU ABROAD

Senior Member
Joined
Nov 20, 2020
Posts
127
Reaction score
218
Ukweli ni kwamba mkiachana. Sio kwamba mmeachana. Ni kama mme pumzishana

Sasa akitokea ni mwanamke ameringa kabisa

Cha kufanya
1. FUTA namba yake ya What's App asione Picha zako

2. Kama ulimfollow . Mu unfollow chap chap alafu mblock

3. Kama ulikua na mchongo una. Fanya, utaona pole pole unamsahau na kufanya mambo yako .

Alafu baada ya siku kadhaa utaona anajitumisha txt .. " I miss you"

Sikia wewe na akifanya hivyo achana naye usimjibu cha kufanya tafuta mwanamke ambaye anamjua na u-date naye ...





,
 
Kuna ex wangu tuliachana mpaka juzi kaolewa mimi na yeye hata sms ya kujuuliana hali mpaka leo hakuna alie mtumia mwenzie. Na tokea nimuoe wife wangu sijawahio kuona sms ya ex wake au yeye kumtumia ex wake.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
PGO ya ngapi imeandika hayo unayoyasema?
 
Kuna ex wangu tuliachana mpaka juzi kaolewa mimi na yeye hata sms ya kujuuliana hali mpaka leo hakuna alie mtumia mwenzie. Na tokea nimuoe wife wangu sijawahio kuona sms ya ex wake au yeye kumtumia ex wake.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Anazifuta, kwani Yee haujui utamu na umuhimu wa ndoa?
 
Na tokea nimuoe wife wangu sijawahio kuona sms ya ex wake au yeye kumtumia ex wake.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Mitandao yote hii washindwe kutumiana sms, kweli!!?
 
Mitandao yote hii washindwe kutumiana sms, kweli!!?

Mitandao yote naijua mkuu wala hanipigi chenga na Simu yake naweza kukaa nayo siku 2 au 3 na passwords zake zote nazijua.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Anazifuta, kwani Yee haujui utamu na umuhimu wa ndoa?

Mkuu sms inayoingia kwenye cm yake inaingia kwangu na password zake zote nazijua.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Muda wa kufanya hicho kitu, uko wapi? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mitandao yote naijua mkuu wala hanipigi chenga na Simu yake naweza kukaa nayo siku 2 au 3 na passwords zake zote nazijua.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Ana Install anafanya yake, akimaliza ana uninstall. Kwani kuna ugumu hapo?

Pia anaweza kupigiwa/kumpigia halafu akafuta call history.

Tafadhali usijipe matumaini asilimia zote
 
Back
Top Bottom