Pre GE2025 Chacha Heche: CHADEMA hakuna vibaka wala sio kweli chama hicho kilikuwa kinachukua vijana kutoka Tarime na kwenda kuwatumia kufanya fujo

Pre GE2025 Chacha Heche: CHADEMA hakuna vibaka wala sio kweli chama hicho kilikuwa kinachukua vijana kutoka Tarime na kwenda kuwatumia kufanya fujo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Mara Chacha Heche amesema katika chama hicho hakuna vibaka wala sio kweli chama hicho kilikuwa kinachukua vijana kutoka Tarime na kwenda kuwatumia kufanya fujo kama mamluki (Mercenaries).

Soma Pia:
Heche ameyasema hayo baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira kudai kuwa chama hicho kilikuwa kinachukua vijana kutoka Tarime na kwenda kuwatumia kufanya vurugu.

 
Vyama vyote vimepoteza misingi na malengo ya kuundwa kwake kusemea wananchi vimekua ni mipasho na majibizano!
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Mara Chacha Heche amesema katika chama hicho hakuna vibaka wala sio kweli chama hicho kilikuwa kinachukua vijana kutoka Tarime na kwenda kuwatumia kufanya fujo kama mamluki (Mercenaries).

Soma Pia:
Heche ameyasema hayo baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira kudai kuwa chama hicho kilikuwa kinachukua vijana kutoka Tarime na kwenda kuwatumia kufanya vurugu.

Simlaumu mzee Wasira namlaumu aliyemteua
 
Back
Top Bottom