Chachu yangu ni kupata nafasi ya kudumu sekta ya afya ili niendelee kutoa huduma kwa wagonjwa

Chachu yangu ni kupata nafasi ya kudumu sekta ya afya ili niendelee kutoa huduma kwa wagonjwa

suley702

Member
Joined
Sep 9, 2020
Posts
49
Reaction score
111
Mimi ni kijana ninayejitolea katika moja ya hospital hapa nchini katika kitengo cha mapokezi kwa miaka zaidi ya sita napenda hii kazi ya kuhudumia wagonjwa, changamoto yangu sina uhakika wa ajira kwa hapa nilipo kwa yoyote mwenye mawasiliano hata email ya waziri wa afya tafadhali anisaidie kupata au kama wizara husika ina watu humu itakuwa vyema sana.

N.B Sina lalamiko coz uongozi husika unatoa ushirikiano wa kujikimu kwangu wakati wote bali chachu yangu ni kupata nafasi ya kudumu ili niendelee kutoa huduma kwa wagonjwa kwa manufaa ya Taasisi na nchi kwa ujumla.
 
Ile ya info iko active Kuna bimama huwa anaitumia. Lakin kama utakosa utanichek dm nkupe namba ya Mr. Martin

Lakin sidhani kama hiyo itakuwa njia sahihi ya wewe kupata ajira. Kuna yeyote alitewahi kupata kwa staili hii?
 
Ile ya info iko active Kuna bimama huwa anaitumia. Lakin kama utakosa utanichek dm nkupe namba ya Mr. Martin

Lakin sidhani kama hiyo itakuwa njia sahihi ya wewe kupata ajira. Kuna yeyote alitewahi kupata kwa staili hii?
Sijawahi kusikia yoyote aliyepata kwa njia hii but maisha ni kujaribu aisee bila kukata tamaaa, naomba unitumie hiyo info tafadhali.
 
Du
Mimi ni kijana ninayejitolea katika moja ya hospital hapa nchini katika kitengo cha mapokezi kwa miaka zaidi ya sita napenda hii kazi ya kuhudumia wagonjwa, changamoto yangu sina uhakika wa ajira kwa hapa nilipo kwa yoyote mwenye mawasiliano hata email ya waziri wa afya tafadhali anisaidie kupata au kama wizara husika ina watu humu itakuwa vyema sana.

N.B Sina lalamiko coz uongozi husika unatoa ushirikiano wa kujikimu kwangu wakati wote bali chachu yangu ni kupata nafasi ya kudumu ili niendelee kutoa huduma kwa wagonjwa kwa manufaa ya Taasisi na nchi kwa ujumla.
Duuh miaka 6 unajitolea tu watu mna moyo sana no wonder serikali haioni tija kuajiri watumishi
 
Mungu atakusaidia.. cha msingi ni kufanya sahili kila nafasi zikitoka.

Mara nyingi watu ambao wanajitolea au wana sehem ya kuingiza kitu chochote huwa wanajisahau kuomba kazi sehem nyingine wakiamini huwenda wakabahatika kupata mkataba wa kudumu hapo walipo kitu ambacho kinakula sana muda.

Serikali haitabiriki.. pia watu hawatabiriki.

Kingine, sehem ukijitolea kwa muda mrefu kukupa nafas uwe hapo kwa mkataba wa kudumu hasa Serikalini ni NGUMU kwasasab italeta attention kwa watu...imekuaje huyu kapata mkataba hapa hapa? Amepitia njia gani etc.. kheri uombe upate nafasi but sehem nyingine nje ya taasisi kbs au kada unayoitumikia kwa sasa.
 
Mungu atakusaidia.. cha msingi ni kufanya sahili kila nafasi zikitoka.

Mara nyingi watu ambao wanajitolea au wana sehem ya kuingiza kitu chochote huwa wanajisahau kuomba kazi sehem nyingine wakiamini huwenda wakabahatika kupata mkataba wa kudumu hapo walipo kitu ambacho kinakula sana muda.

Serikali haitabiriki.. pia watu hawatabiriki.

Kingine, sehem ukijitolea kwa muda mrefu kukupa nafas uwe hapo kwa mkataba wa kudumu hasa Serikalini ni NGUMU kwasasab italeta attention kwa watu...imekuaje huyu kapata mkataba hapa hapa? Amepitia njia gani etc.. kheri uombe upate nafasi but sehem nyingine nje ya taasisi kbs au kada unayoitumikia kwa sasa.
shukrani kwa maombi yako pia huwa naomba mara kwa mara na kwenda kufanya usaili mahala pengine
 
Back
Top Bottom